Nimegundua kwanini Mapenzi yana nitesa!

Nimegundua kwanini Mapenzi yana nitesa!

Daah,me niko differ napenda movies za mkono bhana mwanzo mwisho,..cjui FBI huyu kazingua hivi mara vile ndo raha yanguu ila hizo za kina Manollo cjui marisimba naona muda hauendi kabisaaaa
Utakuwa mbabe wewe hzo za FBI ndo nataka niwe naziona sasa......
 
Utakuwa mbabe wewe hzo za FBI ndo nataka niwe naziona sasa......
Fanya hivo mkuu utainjoy balaa na utasahau hayo yakina marmar usisahau tuu kuleta mrejesho baada ya kuangalia,...me kwakuwa ni 'gal' nna ubabe wangu flani hivi amazing....yani a don't care kama Cynthia hahahah
 
Fanya hivo mkuu utainjoy balaa na utasahau hayo yakina marmar usisahau tuu kuleta mrejesho baada ya kuangalia,...me kwakuwa ni 'gal' nna ubabe wangu flani hivi amazing....yani a don't care kama Cynthia hahahah
Usijariio......hahahaha eti ubabe fulani amizing
 
Mwanaume mzima unafuatilia opaaa boys over floweers!..shit
 
Invalid research utarudi hapa tena ukilalamika kuwa umeumizwa

Hakuna uhusianoa wa dirct kati hizo movie na uzoba wa mapenzi unaotaka kutuaminisha, bt ukiamua uwepo its fine..

Big problem ni perception yako over love affairs, hii imejengwa na wewe hata kabla hujawa mdau mkubwa wa movies.
 
We mchaga nini?! maana wao wanabaka hadi leo' nashangaa huwaga hakuna kesi za ubaguzi huko uchagani

yani unakula mtama unashtukia kitu ipo ndanii hasa kipindi cha x mass we unadhani kwaniini wanasafiri xana x mass hawaNaga kubembeleza....





watani zangu ni sheeeda
Ukiongea namna hiyo uweke na mifano hai.
 
Back
Top Bottom