Nimegundua kwanini Mapenzi yana nitesa!

Nimegundua kwanini Mapenzi yana nitesa!

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,676
Habari wana MMU

Leo nimeamua kuandika haya baada ya mimi mwenyewe kujifanya uchunguzi yakinifu bila kuunda Tume yoyote ILe

Uchunguzi wa kujichunguza mimi mwenyewe ulilenga Direct KWANINI KILA SIKU MIMI NIWAKUUMIA KATIKA MAPENZI HADI KUJIKUTA MTU MZIMA NINA LIA KATIKA MAPENZI....Nilikuwa mtu wa kuomba ushauri sana hasa pale demu wangu anapo nizingua,lakini kila ushauri nilio kuwa napewa nilikuwa naona hautimizi haja ya Moyo wangu na kujikuta mimi niwakuumizwa na kila demu ninaye kuwa nae! Mimi ndo nakuwa nampenda sana as if mimi ndio mwanamke,nakuwa naumia sana, ninakuwa nina wivu ulio pitiliza as if mimi ndo mwanamke Pia!

Hili liliniumiza akili sana lakini mwisho wa siku nikajikuta najisemea mwenyewe yakuwa NIMERUHUSU MOYO WANGU UIONGOZE AKILI YANGU BADALA YA AKILI KUONGOZA MOYO WANGU! Kitu kilichofanya kuumizwa sana katika mapenzi! Nilipo fika hatua hio nikaona bado haitoshi kuna kitu basi nikaacha kujichunguza maisha yangu na kufikia hatua ya kujisemea MOVIES ZA KIKOREA,TAMTHILIA ZA KIFILIPINO,MOVIES AMBAZO NI ZA LOVE STORIES ndio sababu kubwa inayonifanya niumie sana!

Nipo addicted sana katika hizo movies nilizo zitaja ambazo zimenifanya nikijikuta nazifanyia application katika mahusiano yangu kuanzia kujari na vyote, sasa basi kuanzia leo nina delete Hizo movies zote nilizo nazo, nafuta kabisa sitaki tena ujinga huo sijui swalloh,sijui Marichui,Marry Clara,love story, na movies zote za kikolea na kifilipino leo ndo mwisho kuwa nazo

Kwanza na nunua mizinga kadhaa ya konyagi then nafuta hizo movies nachukua mizinga yangu ninalewaa nalala nikiamka sasa ni mwendo wa kuangalia Movies za Action, Horrow movies, zile za akina maiko kipensi,zile za anold, na action kali zote kama za masniper na za kisolders wa kimarekani, ambazo kule kwenye mapenzi hakuna kubembelezana, dada apende asipende papuchi atatoa asipo toa ni vibao,kule dada anatoa papuchi bila kutongozana,kule hakuna kubembelezana kama huku kwa wafilipino au wakorea, Kule demu wako hata ukimkuta anachepuka hauumii ni unamla papuchi afu unabwaga yaani ni mambo mpela mpela

Na nyinyi nina washauri tumieni akili kupenda ba sio Moyo! Pia hizo movies za kidemu tuache mademu wazicheck!
 
Umechelewa kutambua kama movie za kikorea ni za kike
ndio maana wao kutwa kuchagua wanaume ila watapopata ndio wanapatikana

Mi sijawahi kuangalia hizo nahisi ndio maana hata kubembeleza siwezi
Upo sahihi kabisa ukiangalia hzo movies unajikuta unaanza kubembeleza from no where,kucare kunako pitiliza sasa basi
 
Napenda thrillers. Badass horrorcore stuff kama Scarface, Juice, 24 na zile La Cosa Nostra steriotypes. Down to the core with the G-funk, Tupac's and what nots.

According to your theory, you would think brothas like I, aren't romantic/sensitive or don't get their hearts broken. We do, probly even more. Difference is, we don't go around crying over it like mitches. And we can tell the difference between fantasy, and reality.

And man to man, your taste for TV is a bit feminine.
 
Umechelewa kutambua kama movie za kikorea ni za kike
ndio maana wao kutwa kuchagua wanaume ila watapopata ndio wanapatikana

Mi sijawahi kuangalia hizo nahisi ndio maana hata kubembeleza siwezi
We mchaga nini?! maana wao wanabaka hadi leo' nashangaa huwaga hakuna kesi za ubaguzi huko uchagani

yani unakula mtama unashtukia kitu ipo ndanii hasa kipindi cha x mass we unadhani kwaniini wanasafiri xana x mass hawaNaga kubembeleza....





watani zangu ni sheeeda
 
wengine wanayakataa mapenzi wengine ndo tunaendamo duu... kweli
dunia tambara bovu
 
mchaga nini maana wao wanabaka hadi leo nashangaa huwaga hakuna kesi za ubakaji

yani unakula mtama unashtukia kitu ipo ndanii hasa x mass we unadhani kwaniini wanasafiri xana x mass





watani zangu ni sheeeda
nimetoka kapa
 
mchaga nini maana wao wanabaka hadi leo nashangaa huwaga hakuna kesi za ubakaji

yani unakula mtama unashtukia kitu ipo ndanii hasa x mass we unadhani kwaniini wanasafiri xana x mass





watani zangu ni sheeeda
Sijakuelewa
Embu ngoja nirudie kusoma tena
 
ulikuwa unaigiza ndiyo maana unaumizwa..... mapenzi ya siku hizi pesa na ubabe basi.............. na maana money control every thing
 
Daah,me niko differ napenda movies za mkono bhana mwanzo mwisho,..cjui FBI huyu kazingua hivi mara vile ndo raha yanguu ila hizo za kina Manollo cjui marisimba naona muda hauendi kabisaaaa
 
Back
Top Bottom