nimegombana na Mke wangu'ameniacha

nimegombana na Mke wangu'ameniacha

Usichoke kumubembeleza bado anakupenda ndomaana aliludi kukuomba msamaha,nae anakukazia ili ujue umhimu wake kwako.
 
Ulitishia kujamba wakati unaharisha????

Subiri hasira zake zipoe ukambembeleze ndumba hazina dili utazidi kuharibu
 
Taraka Rejea kaiimba Bichuka hii.

Hassan Rehani Bichuka

Utaona wanaume wengineeee, huwapa talaka wake zao, bado wanawapendaaaaaa
Utaona wanaume wengineeee, huwapa talaka wake zao, bado wanawapendaaaaaa
Mke akisharudi nyumbani kwaooo, bwana anakwendaaaa, kumbembelezaaaa
Mke akisharudi nyumbani kwaooo, bwana anakwendaaaa, kumbembelezaaaa

Eighties babies, whachu know about that Nginde Ngoma Ya Ukae?
 
unatuchanganya mkuu ,ulimuudhi wewe au alikuudhi wewe?.... kuwa specific!
Pia hajaeleza sababu ya ugomvi ni nini. Pengine huyu bwana alifanya kosa ambalo ni gumu kusameheka. Funguka mkuu ili upate msaada. Jiulize je unayo haki ktk hili.
 
ndugu zangu sikujua mapenzi ni mchezo hatari kiasi hiki'nimegombana na mke wangu ni mwezi wa pili sasa''tulipogombana alirudi akitaka tuongee lakini bado nilikuwa na hasira naye na nilikataa kuongea naye'hasira zangu zilipoisha niliamua turudiane lakni amekataa na amesema hanitaki tena'kwa kweli nimechanganyikiwa sijui nifanye nini ili turudiane'mimi ni mkristo sijawahi kwenda kwa waganga lakini nasikia kuna dawa unaweza kumrudisha mpenzi aliyepotea?je nitakuwa natenda dhambi nikitumia nguvu za uganga kumrudisha?naomba msaada

Ulifunga nae ndoa? Dini ye2 hairuhusu kumtegemea mwanadamu, hyo n dhambi. Akikataa hadi mwisha fanya kama wahehe...
 
Mkuu hivi bado upo katika ile dunia ya kusumbuliwa na mwanamke?... huo ulimwengu ulishapita...

Mkuu ulimpata kibahati? Anaonesha hana upendo, kwanini ashindwe kukuelewa mme wake, au ana mwingine aliyekua anavizia nafasi hiyo? Think critically
 
ndugu zangu sikujua mapenzi ni mchezo hatari kiasi hiki'nimegombana na mke wangu ni mwezi wa pili sasa''tulipogombana alirudi akitaka tuongee lakini bado nilikuwa na hasira naye na nilikataa kuongea naye'hasira zangu zilipoisha niliamua turudiane lakni amekataa na amesema hanitaki tena'kwa kweli nimechanganyikiwa sijui nifanye nini ili turudiane'mimi ni mkristo sijawahi kwenda kwa waganga lakini nasikia kuna dawa unaweza kumrudisha mpenzi aliyepotea?je nitakuwa natenda dhambi nikitumia nguvu za uganga kumrudisha?naomba msaada

Wanawake tuko wengi.
Njoo kwangu, mie sina hasira na mwingi wa huruma.
 
Pole sana ila ujifunze sasa hasira hasara, huko aliko anaona bora akuache maana next time unaweza ukanuna mwaka mzima, angalia utazeeka mapema.
 
ndugu zangu sikujua mapenzi ni mchezo hatari kiasi hiki'nimegombana na mke wangu ni mwezi wa pili sasa''tulipogombana alirudi akitaka tuongee lakini bado nilikuwa na hasira naye na nilikataa kuongea naye'hasira zangu zilipoisha niliamua turudiane lakni amekataa na amesema hanitaki tena'kwa kweli nimechanganyikiwa sijui nifanye nini ili turudiane'mimi ni mkristo sijawahi kwenda kwa waganga lakini nasikia kuna dawa unaweza kumrudisha mpenzi aliyepotea?je nitakuwa natenda dhambi nikitumia nguvu za uganga kumrudisha?naomba msaada

Achana na mawazo ya waganga wa kienyeji, unaweza kuumia. Nakushauri rudi kamuombe msamaha kwa upole na kumuelezea hasira zako zilivyokuwa na na namna gani sasa ungetarajia kuwa na ukurasa naye mpya wa mapenzi. Kama itashindikana, unaweza kutumia wazazi, viongozi wa dini au watu wa karibu na mkeo na mambo yakaenda vyema. Endelea pia kumuomba Mungu wakati unaendelea na huo mchakato. Haya mambo huwakuta wengi ila huishi vizuri na kurudiana kama utakuwa mvumilivu na kutumia ubongo wako sawa sawa.
Kila la kheri.
 
th
th


kazi kwako.....
 
Pia hajaeleza sababu ya ugomvi ni nini. Pengine huyu bwana alifanya kosa ambalo ni gumu kusameheka. Funguka mkuu ili upate msaada. Jiulize je unayo haki ktk hili.

ni kweli anapaswa kufunguka zaidi , ila kama anaona mambo magumu atulie tu kwani kama wife alikuwa anamuomba msamaha miezi 2 anamkatalia hapo lazima kuna mahali ameshajishikiza tu na anapewa nyama za ulimi ,sabuni ya roho ,na raha ya mwili kwahiyo huyu jamaa asubirie tu mpaka hilo penzi jipya liexpire ndiyo atayaona majeshi ya wife yakirudi.
 
Kweli thamani ya mtu huonekana pale unapokua umempoteza.
 
ndugu zangu sikujua mapenzi ni mchezo hatari kiasi hiki'nimegombana na mke wangu ni mwezi wa pili sasa''tulipogombana alirudi akitaka tuongee lakini bado nilikuwa na hasira naye na nilikataa kuongea naye'hasira zangu zilipoisha niliamua turudiane lakni amekataa na amesema hanitaki tena'kwa kweli nimechanganyikiwa sijui nifanye nini ili turudiane'mimi ni mkristo sijawahi kwenda kwa waganga lakini nasikia kuna dawa unaweza kumrudisha mpenzi aliyepotea?je nitakuwa natenda dhambi nikitumia nguvu za uganga kumrudisha?naomba msaada

Ndugu unasema hivyo kwa kutumia kitabu kipi katk Biblia? sikiliza, aliyewagombanisha ni shetani kupitia wenzako yaani watoto wa mamdogo, leo unaomba msaada wakurudiana na mkeo kupitia huko, je shetani ataweza mfunga shetani mwenzake? nineo la Mungu wako ndo msaada wenu kurudiana, kupitia wachungaji na pia ujuwe nsamaha nini, shuka omba kwa kufunga na kuomboleza Mungu atakusaidia kupatanisha ndoa yenu.
 
Atarudi tuu kwa budget hii ya juzi lazima arudi mwenyewe

we nawe unafikiri wanawake wa leo ni golikipa wanasubiri kila kitu wapewe, wanaume wenyewe mnafulia mara kibao tunawaokoa, si ajabu ht huyo kamkumbuka wife kwa vile alivyokuwa anamsaidia..
 
ndugu zangu sikujua mapenzi ni mchezo hatari kiasi hiki'nimegombana na mke wangu ni mwezi wa pili sasa''tulipogombana alirudi akitaka tuongee lakini bado nilikuwa na hasira naye na nilikataa kuongea naye'hasira zangu zilipoisha niliamua turudiane lakni amekataa na amesema hanitaki tena'kwa kweli nimechanganyikiwa sijui nifanye nini ili turudiane'mimi ni mkristo sijawahi kwenda kwa waganga lakini nasikia kuna dawa unaweza kumrudisha mpenzi aliyepotea?je nitakuwa natenda dhambi nikitumia nguvu za uganga kumrudisha?naomba msaada

Ni pm nikusaidie
 
Back
Top Bottom