TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
dogo.... mkishagandana na huyo mama, mumewe atakuganda kwa nyuma!!!
Akili kichwani kwako....
mwanamke aliyeolewa na akataka kuzaa na wewe ni wa kumdharau sana, kwani hajui maana ya ndoa, familia wala nini maana ya mtoto... ni mtu ambaye anatreat watoto kama mapera tu, unapanda mbegu, yanaota unachuma
bad
Akili kichwani kwako....
mwanamke aliyeolewa na akataka kuzaa na wewe ni wa kumdharau sana, kwani hajui maana ya ndoa, familia wala nini maana ya mtoto... ni mtu ambaye anatreat watoto kama mapera tu, unapanda mbegu, yanaota unachuma
bad