Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,020
Acha uvivu wa kufikiri, wapigie customer care kwa mtandao ulionunua tokenWakuu habarini. Naomba kusaidiwa. nimefuta sms ya token ya Luku kwa mbaya.
Nifanyeje ili kupata umeme wangu? Kwa mwenye kujua msaada tafadhali