PMWAKA
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 226
- 244
Wakuu nisaidieni hili jambo. Nilienda kunyooshwa mkono (ulijikunja baada ya ajari), nikapigwa nusu kaputi sababu ulikua stiff ili.ukinyooka nifanyiwe surgery.
Sasa umenyooshwa na nimewekewa pop, leo siku ya 2, lakini maumivu hayapoi ndani ya pop, japo nilipewa maelekezo ikitokea ngozi ya vidole vya mkono imeanza kua nyuesi basi nirudi hospital, ila ngozi iko sawa, ila naumivu ni makali sana na ubaridi ndani ya poo, nifanyeje? niende watoe pop waweke nyingine labda hii imebana au hua ni kawaida
Sasa umenyooshwa na nimewekewa pop, leo siku ya 2, lakini maumivu hayapoi ndani ya pop, japo nilipewa maelekezo ikitokea ngozi ya vidole vya mkono imeanza kua nyuesi basi nirudi hospital, ila ngozi iko sawa, ila naumivu ni makali sana na ubaridi ndani ya poo, nifanyeje? niende watoe pop waweke nyingine labda hii imebana au hua ni kawaida