Baada kufanya kazi ya sales na kampuni za bima nimeamua kufungua insurance agency yangu ofisi zipo magomeni kagera na banana Ukonga top guide insurance agency mimi agent wa jubilee insurance ltd kwa wadau mliopo kwenye sector naomba tupeane mazoefu zaidi kuhusu masoko then mdau yeyote anetaka tufanye nae biashara au mwenye biashara anakaribishwa ani pm namba yake ya sim nitampigia tuongee.
Tunatoa bima za moto kwa nyumba,biashara waliopanga kwenye frem,bima za magari, bajaj, elimu, afya, bima za mazao kama mahindi, ufuta, shahiri, mtama, etc. Bima ya green house kwa wale wakulima wanaoanza kilimo na umeweka mtaji wako wote hapo. Ni muhimu ukaweka bima usije ukapotea, bima ya kuku wa mayai na wa nyama kwa wafugaji wa kuku wale vifaranga unawekea bima in case wakifa ugonjwa au wakiibiwa bima incoposate gharama ulizotumia mpaka pale walipokuwa wamekufa.
Nitaendelelea kutoa maelezo zaidi namna bima hizi mpya za wanyama na kilimo zinavyokuwa kwa sababu ni product mpya inayoingia sokoni kwa mjasiriamali kijana kwenye kilimo ni muhimu kuweka bima ili kufanya kilimo chako kwa uhakika. Bima itakopasate incase kumetokea ukame, mafuriko,mazao yameharibiwa na wadudu au wanyama na tetemeko la ardhi. Uzuri wa kutumia agency ni kwamba atakusaidia kufatilia kwenye kampuni pindi panapotokea claims ili ulipwe kwa wakati
Karibuni wadau
Tunatoa bima za moto kwa nyumba,biashara waliopanga kwenye frem,bima za magari, bajaj, elimu, afya, bima za mazao kama mahindi, ufuta, shahiri, mtama, etc. Bima ya green house kwa wale wakulima wanaoanza kilimo na umeweka mtaji wako wote hapo. Ni muhimu ukaweka bima usije ukapotea, bima ya kuku wa mayai na wa nyama kwa wafugaji wa kuku wale vifaranga unawekea bima in case wakifa ugonjwa au wakiibiwa bima incoposate gharama ulizotumia mpaka pale walipokuwa wamekufa.
Nitaendelelea kutoa maelezo zaidi namna bima hizi mpya za wanyama na kilimo zinavyokuwa kwa sababu ni product mpya inayoingia sokoni kwa mjasiriamali kijana kwenye kilimo ni muhimu kuweka bima ili kufanya kilimo chako kwa uhakika. Bima itakopasate incase kumetokea ukame, mafuriko,mazao yameharibiwa na wadudu au wanyama na tetemeko la ardhi. Uzuri wa kutumia agency ni kwamba atakusaidia kufatilia kwenye kampuni pindi panapotokea claims ili ulipwe kwa wakati
Karibuni wadau