kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
Wether mmefunga ndoa au mmeishi tu, mkiachana lazima mgawane pasu kwa pasuIkifika kwenye suala la kuachana kama hamkufunga ndoa kuna uwezekano wa kupelekana mahakamani au mnayamaliza kikubwa.?
Asante Dada..Na mioyo yenu
Wether mmefunga ndoa au mmeishi tu, mkiachana lazima mgawane pasu kwa pasu
Kwanini mnapenda kuwaza mambo ya kuachana?
Sijui kwanini tu huwa nachukia mnapopenda kuingiza neno kuachana.
Yeah trueNi ndoa kama ndoa zingine, inatambuliwa kisheria.
Mnafunga katika ofisi ya Mkuu wa wilaya na kukabidhiwa vyeti vya ndoa. Hakuna mbwe mbwe wala gharama. Ni nzuri sana. Mkizinguana, kila mtu anashika chake. Mali mlizotafuta ndani ya ndoa ndiyo mnagawana pasu kwa pasu.
Utakazomkuta nazo mwenzako zinabaki zake na wewe vivyo hivyo.
Process ilikuaje?Habari wakuu,
Nimeona leo nifunge naye ndoa baada ya kuishi nae tangu 9/2013.
GOD BLESS US