E E K N Member Aug 30, 2011 10 2 May 10, 2012 #101 Dr. Slaa Mtanzania halisi! Mzalendo mwenye uchungu na shida za watanzania. Huyu ni Dr wa ukweli!
IKHOIKHOI JF-Expert Member Jan 30, 2012 366 41 May 11, 2012 #102 Hana makuu dokta wa ukweli. Binafsi nampenda sana, ana busara za kiutu uzima. Najifunza kwake pia japo si mwanasiasa japo mwanachadema.
Hana makuu dokta wa ukweli. Binafsi nampenda sana, ana busara za kiutu uzima. Najifunza kwake pia japo si mwanasiasa japo mwanachadema.
MARCKO JF-Expert Member Jun 10, 2011 2,258 274 May 11, 2012 #103 Daaaa, yani kama mtoto mdogo lakini hatamimi.