Nimefanyiziwa na rafiki!!!!


Binaadam tunatofautiana sana
 

Duu hii imenifanya nijione tatizo langu ni la kawaida kabisa
 
achana nae huyu, life will tell nakuambia!!!!!
Hii dhambi itamsumbua miaka yake yote

Naunga mkono hoja lakini ukweli ni kwamba mazingira ya huyo jamaa ni ya kitapeli na nashauri wenzangu tuwe makini sana na marafiki wanaotaka kukukopa fedha nyingi kwa wakati mmoja kwa minajili ya madeal.
 

Ishu ni kwamba unakuwa hijui mkuu
 
...ukiona manyoya ujue keshaliwa. mleta mada tuna RB? umeshakwenda ofisini kwa mwajiri wake? weka picha hapa tukusaidie kumtafuta. Vinginevyo tulia tu.

Nikiweka picha yake inaweza usiamini, shavu hilooo!!!! Kumbe ni mshenzi kabisa
 

Duu M8 kusamehewa kirahisi rahisi lazima uogope, naifananisha na ile mwizi kakuibia alafu hipigi kelele ila unamfukuza kwa uchungu, lazima mwizi apige kelele mwenyewe kuomba msaada
 
Naunga mkono hoja lakini ukweli ni kwamba mazingira ya huyo jamaa ni ya kitapeli na nashauri wenzangu tuwe makini sana na marafiki wanaotaka kukukopa fedha nyingi kwa wakati mmoja kwa minajili ya madeal.

Nimejiwekea utaratibu sasa nikipewa deal kubwa kirahisi rahisi lazima nitie akili kumkichwa
 
achana nae huyu, life will tell nakuambia!!!!!
Hii dhambi itamsumbua miaka yake yote
Hii akili ya Mungu atanilipia ndiyo maana hatuendelei. Yaani wewe mtu unamfahamu kakulia mkwanja wako wa maana halafu umwache tu?!!!!!

Mimi mtu kama huyu aisee lazima nimfanye kitu mbaya sana. Kama hana hela naweza kumhamisha mji, maana ni bora mtu akukope halafu apate matatizo akueleze umwelewe sio suala la kuzimiana simu.

Mkuu kwa sasa siwezi kukushauri cha kumfanya, ila amenipa hasira sana huyu "rafiki" yako kimeo.
 
Kuna jamaa anaitwa Abbasi ndio issue zake kama hizo ukiingia kingi hutoki yaani mtu muache na matatizo yake usijiingize kabisa kwani yatahamia kwako.... That is your Problems not mine muwe mnawaambia
 
Mpeleke polic.siku nyingine hawezi kukichezea tena ktkt maisha yake.nenda police.bandika picha yake gazetin kuwa anatafutwa kwa utapeli wa hizo hela ulizomkopesha.atakuja mwenyewe kama kuku.then ukipata mzigo wako kata urafiki.huwezi kamwe kuwa na rafiki -------- kama huyo.ni mzigo na ni karaha kuwa na rafiki wa namna hiyo.
 
baada ya kuusoma huu uzi


Sitakuja kumkopesha mtu hata sh 1
 

Je jina lake ni Oscar Ruhasha?
 
Mpeleke kwa 'toboa tobo' bagamoyo
 
Pole mkuu, kama unaweza kupata source nyingine ya kuretain hela yako we tulia tu mwana. Shida haziishi duniani nakwambia ila zinakuja kwa njia mbalimbali.

Ipo siku atapata shida ya kweli ndo atakukumbuka, ataona thamani yako, atakuja kuomba msamaha. Hapo ndo utamwambie akulipe deni lako lote pamoja na usumbufu, riba n.k kitu ambacho ni kigumu kwake.

Jifunze kuwa mpole, kusamehe na kusahau, hii ni silaha tosha kushinda madhalimu ya hapa duniani.
 
mkamatishiea polisi,, wale 500, ubaki na 1200,,,, pole bana ALAWATAN...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…