juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,449
Za siku nyingi wanabody?? Bila kupoteza muda iko hivi..nina demu wangu ambaye namzimia kinoma noma.tuna mipango mingi ya mbele mizuri na <b>naapa tangu nijuane na yeye sijawahi kumsariti hata siku moja</b>.ila ana lafiki yake ambaye <b>tunaheshimiana sana</b>,ila kwa <b>bahati mbaya sana</b> huyo lafiki yake nimemchapa..<b>usitake kuniuliza ilikuwakuwaje hadi nikala mzigo</b>,ila we elewa tu kwamba nimekula mzigo kwa shemeji yangu..kiukweli roho inaniuma sana tena sana hasa nikifikiria walivoshibana..naumia zaidi nikiwa naongea au kuonana na mpenzi wangu kila nikiwaza nilichomtendea nafsi inanisuta sana..yaani hii hali inanitesa sana kisaikoloji ,,hii ni true story jamani..naomba ushauri wenu je nifanyeje ili niwe na amani ya moyo
Mbona hukuomba ushauri kabla ?Za siku nyingi wanabody?
Bila kupoteza muda iko hivi, nina msichana wangu ambaye namzimia kinoma noma, tuna mipango mingi ya mbele mizuri na naapa tangu nijuane na yeye sijawahi kumsaliti hata siku moja ila anarafiki yake ambaye tunaheshimiana sana ila kwa bahati mbaya sana huyo rafiki yake nimemchapa.
Usitake kuniuliza ilikuwakuwaje hadi nikala mzigo, ila we elewa tu kwamba nimekula mzigo kwa shemeji yangu, kiukweli roho inaniuma sana tena sana hasa nikifikiria walivyoshibana.
Naumia zaidi nikiwa naongea au kuonana na mpenzi wangu kila nikiwaza nilichomtendea nafsi inanisuta sana, yaani hii hali inanitesa sana kisaikoloji, hii ni true story jamani.
Naomba ushauri wenu, je nifanyeje ili niwe na amani ya moyo?
Usijali siku na wewe Rafiki yako akimlala Demu wako basi utakuwa umepata wa kukupa ushauri mzuriZa siku nyingi wanabody?
Bila kupoteza muda iko hivi, nina msichana wangu ambaye namzimia kinoma noma, tuna mipango mingi ya mbele mizuri na naapa tangu nijuane na yeye sijawahi kumsaliti hata siku moja ila anarafiki yake ambaye tunaheshimiana sana ila kwa bahati mbaya sana huyo rafiki yake nimemchapa.
Usitake kuniuliza ilikuwakuwaje hadi nikala mzigo, ila we elewa tu kwamba nimekula mzigo kwa shemeji yangu, kiukweli roho inaniuma sana tena sana hasa nikifikiria walivyoshibana.
Naumia zaidi nikiwa naongea au kuonana na mpenzi wangu kila nikiwaza nilichomtendea nafsi inanisuta sana, yaani hii hali inanitesa sana kisaikoloji, hii ni true story jamani.
Naomba ushauri wenu, je nifanyeje ili niwe na amani ya moyo?
Ilinitokea situation kama hiyo wakati nipo form two ...nilikuwa katika mahusiano baadae tukaachana lakini baadae nikaja kugundua Tena huyo mwanaume akawa anatoka na Dada yangu ....nilikuwa inanipa wakati mgumu nilipokuwa najilazimisha kumwita shemeji x boyfriendZa siku nyingi wanabody?
Bila kupoteza muda iko hivi, nina msichana wangu ambaye namzimia kinoma noma, tuna mipango mingi ya mbele mizuri na naapa tangu nijuane na yeye sijawahi kumsaliti hata siku moja ila anarafiki yake ambaye tunaheshimiana sana ila kwa bahati mbaya sana huyo rafiki yake nimemchapa.
Usitake kuniuliza ilikuwakuwaje hadi nikala mzigo, ila we elewa tu kwamba nimekula mzigo kwa shemeji yangu, kiukweli roho inaniuma sana tena sana hasa nikifikiria walivyoshibana.
Naumia zaidi nikiwa naongea au kuonana na mpenzi wangu kila nikiwaza nilichomtendea nafsi inanisuta sana, yaani hii hali inanitesa sana kisaikoloji, hii ni true story jamani.
Naomba ushauri wenu, je nifanyeje ili niwe na amani ya moyo?