Nimefanya maamuzi magumu

Nimefanya maamuzi magumu

OJODE

Member
Joined
Sep 19, 2015
Posts
27
Reaction score
14
Na hakuna wengine Zaidi ya CCM, watanzaniawenzangu iambieni CCM basi imetosha.Tunatamani kuziona na sisi Air Tanzania zikirukakama zilivo ndege za Ethiopia, Rwanda na Kenya.Jamani tunatamani kuiona TTCL ya Tanzaniaiking'aa zaidi ya Vodacom, Tigo na Airtel.

Jamani watanzania wenzangu mbona hatuipendinchi yetu hivi? Au ninyi mnaoishabikia CCM ni wa wapi?Tunahtaji kuiona reli ya Kati na Tazara zikibeba watu kila siku na mizigo kupunguza maloribarabarani, Watanzania tusife tena kwa ajali za barabarani.

Watanzania wenzangu CCM imewaloga na nini?Mnahtaji Maombi?Au mnaitaji kupelekwa kwa mganga ili ilo limbwatalitoke?Semeni basi tuwasaidie kabla ya October 25,tunahtaji Mabadiliko jamani, Tunahtaji nchi Mpya,tunahtaji watu watakaoiondoa nchi hapailipokwamia.Natamani kusikia Mutex, Mwatex ikifanya kazi,watu wakibadilishana shift Usiku na mchanakuingia kazini.

Natamani, natamani.Natamani kuona Twiga hawapandi ndege mimi.Nataman kuona UMEME haukatiki siku 365 zamwaka, natamani.Watanzania wenzangu tamanini basi kama mimi.Uwezi panga nyumba moja baba mwenye nyumba nakusumbua unakomaa tu eti nikihama huko piamwenye nyumba atakuwa kama huyu, mmh sikweli hama, watu hawafanani. Hata CHADEMA na CCM havifanani. IkomboeTanzania.

Lete kura yako UKAWA, wakishindwamiaka Mitano kuonesha njia, tuwawatoa kwani TATIZO LIPO WAPI?Tanzania sio ya CCM, Tanzania sio ya CHADEMA,Tanzania sio ya CUF, Tanzania ni nyumbani kwangu mimi na wewe.

IPENDE TANZANIA WEWE MTANZANIA, HII NINYUMBA YAKO, NI NYUMBA YA WANAO, NA VIZAZIVYAKO VYOTE VITAIJIVUNIA nyumbani TANZANIAmileleMABADILIKO NI SASA CHUKUA HATUA.
 
Nimeikubali sana thread yako. Upo vizuri sana. Naona wanajisifia kwenye kampeni tena kwa sifa l'enjeu kwamba wao wamefanya hili na lile. Umeme tu umewashinda. Nalo wanataka kutuambia nini tena watanzania?
 
Soma habari nzima uelewe. Kafanya maamuzi magumu kutoka ccm na kuipa kura ukawa.
 
Umeongea ukweli mtupu mkuu.
Naomba DuppyConqueror uje usome hapa kisha uniambie wewe ni wa wapi usiyekuwa na uchungu na nchi yako?
#IkataeCCM
 
Last edited by a moderator:
Umeongea ukweli mtupu mkuu.
Naomba DuppyConqueror uje usome hapa kisha uniambie wewe ni wa wapi usiyekuwa na uchungu na nchi yako?
#IkataeCCM
Mleta-mada ni punguani...anadhani pindi umebonyeza button moja ya kubadili chama basi kila kitu kitarudi mahalipake. Umeme utaacha kukatika, pesa zitajaa mifukoni mwa masikini, fly overs zitajijenga zenyewe, ndege za ATC zitafurika kila kona ya dunia, reli zitajaa kila kona ya nchi, watanzania wote watageuka kuwa na maadili mema, rushwa itafutika etc etc....'maaaaaanina, thubuuutuuuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Tuache kujazana ujinga sisiemu wameshindwa Mbona Hilo liko wazi? Mpaka Leo wanataka tuzungumze habari ya barabara kl 11000 kweli? Huu ni upuuzi. Tunavyo sema ukawa wapewe nchi hatumaanishi kuwa watatujaza noti mifukoni hapana, tunajua kabisa kua maisha yataendelea kama kawaida kwamba anafanya kazi ndie atakaenufaika na kazi zake.
 
Tuache kujazana ujinga sisiemu wameshindwa Mbona Hilo liko wazi? Mpaka Leo wanataka tuzungumze habari ya barabara kl 11000 kweli? Huu ni upuuzi. Tunavyo sema ukawa wapewe nchi hatumaanishi kuwa watatujaza noti mifukoni hapana, tunajua kabisa kua maisha yataendelea kama kawaida kwamba anafanya kazi ndie atakaenufaika na kazi zake.
Kaka Matipa huo ndio ukweli
 
wakuu hivi yale majina matano kule ccm yalitoka mfuko wa nani? mwenyekiti katibu?
 
Back
Top Bottom