baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 12,489
- 14,051
Mafao ya wenza wa Viongozi ilikua ni Ishara mbaya na ya dharau sana kwa wananchi umlipe Waziri Mkuu Mstaafu halafu ulimpe na mke wake hizo ni dharau sana kwa wananchi hiyo ilitosha kuandamana na kuondoa huo ujinga wa ali ya juu.
Kwenye nchi maskini kama Tanzania matundu ya vyoo tunajengewa kwa hisani ndo kweli twende kulipa wenza wa Viongozi ambao sio Waajiriwa.
CCM mtandao hamna uchungu na nchi. Mwingulu Nchemba yeye kaahakikisha anaua mfuko wa road fund barabara hamna kujengwa ila hii nchi mnaibagaza sana jamani. Kuweni na huruma. Imagine mke wa Mstaafu wanalipwa hawajai kuajiliwa kisa mme wake anapewa gari jipya uduma zote nyumba anajengewa hii Nchi ni kama ina laana Mungu amemleta Magufuli mtandao ukapiga propaganda Tukamchukia mzee wa watu bila sababu yule Mzee alisema mtanikumbuka sio kwa Mabaya alikua anajua yuko kwenye vita kubwa sema alishindwa kusema kwamba jamani kuna watu wanisumbua watanzania wenzangu yule Mzee alikua kwenye vita kubwa sana
Pia soma > GE2025 - Kiza Kiyeye: CCM wamepitisha mafao kwa wake wa viongozi wakati watu wanateseka
Kwenye nchi maskini kama Tanzania matundu ya vyoo tunajengewa kwa hisani ndo kweli twende kulipa wenza wa Viongozi ambao sio Waajiriwa.
CCM mtandao hamna uchungu na nchi. Mwingulu Nchemba yeye kaahakikisha anaua mfuko wa road fund barabara hamna kujengwa ila hii nchi mnaibagaza sana jamani. Kuweni na huruma. Imagine mke wa Mstaafu wanalipwa hawajai kuajiliwa kisa mme wake anapewa gari jipya uduma zote nyumba anajengewa hii Nchi ni kama ina laana Mungu amemleta Magufuli mtandao ukapiga propaganda Tukamchukia mzee wa watu bila sababu yule Mzee alisema mtanikumbuka sio kwa Mabaya alikua anajua yuko kwenye vita kubwa sema alishindwa kusema kwamba jamani kuna watu wanisumbua watanzania wenzangu yule Mzee alikua kwenye vita kubwa sana
Pia soma > GE2025 - Kiza Kiyeye: CCM wamepitisha mafao kwa wake wa viongozi wakati watu wanateseka