walimu gani ndugu wanaoweza nunua magari hawa hawa wanaokodi boda boda au wale wa usSubaru Forester ni vigari ya watu wa kipato cha chini hata walimu wanaweza kuwa nayo, kwa hiyo mko level moja nao. Ni vipao mbele tu. Acha majivuno na ushamba wa magari, hiyo sio gari ya kuringishia watu. Tafuta hela ununua chuna ya maana.
Kuna jamaa alienda Kijiji kimoja na baiskeli ya miti, Wacha watu wamshangae! Maana walikuwa hawajawahi ona kitu cha hivyo.Sasa kama m40 haifiki walikua wanashangaa nn?
ee ndugu walimu wameandamana lazima walivokua wanakushangaa wao walikua wamepaki boda boda na baiskeli nyuma ya staff wakawa wanashangaa huyu nani tena mbona hakuna mwenzetu mwenye chombo,, ila kweli hata mimi wakati niko shule mwalimu aliekua na gari alikua anaonekana mwalimu anayejiongeza sana anafikiria nje ya box lakini gari lenyewe analomiliki t. crester ya millioni 3.5Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Mwenye hoja ziandike tusome!
Tunataka marais wenye kupata urais kwa kutumia skili zao vichwani na siyo tobo zao mbili za chini ...hapa nsomba tuelewaneAcha upumbavu
Umesemea wakuu wa shuleZipo shule za Sekondari kubwa, Zina Hela, wakuu wanatengeneza zaidi ya m100+ Kwa mwaka.
Mamako ana matundu mangapi?Tunataka marais wenye kupata urais kwa kutumia skili zao vichwani na siyo tobo zao mbili za chini ...hapa nsomba tuelewane
Halafu usikute hata hilo gari lenyewe tu huna! Maana kuna watu wana maisha mazuri sana humu jukwaani, ila huwezi kuwaona wakileta mambo ya shobo kama hizi za kwako.Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Anafukuzana na Mr.Bean.
Models za magari zinatofautiana bei wajinga nyie. Unaweza kuwa na range rover sport ya mwaka 2005 na mwingine akawa na range rover sport ya mwaka 2023 , zote ni range rover sport lakini je zinalingana thamani? Kenge nyie walimu mnadhani subaru nayozungumzia apa ni izo za kwenu za zamani.ualimu ni ujinga.Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!