Subaru yenyewe kaazimaMkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
😅😅😅😅😂😂Mkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
Subaru yenyewe kaazimaMkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
Lazima wakushangae kwani walikuona wewe ni:Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Hajaangalia "Breaking Bad" huyo.G
Subaru yenyewe kaazima
Angalia kuna keshoJuzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Nina mashaka na mtoa mada.Magari ya walimu? Wayatoe wapi! Niletee mwalimu anaemiliki gari ata ya 20m nikupe mara mbili ya hiyo
Thibitisha.Mwaandishi wa huu Uzi namfahamu vizuri tu. Yeye ni mwalimu wa shule ya msingi lakini hapendi watu wajue kuwa ni mwalimu. Kiufupi Hana gari Ila mwaka Jana ndo kanunua pilipiki. Ameshafurukuta ahame kada ya ualimu imeshindikana. Hadi Sasa ana mgogoro na mwajiri wake kwa sababu ya kutotimiza majukumu yake ya ualimu na kushinda ofisi za halmashauri akifuatilia suala Hilo la kubadili fani. Hakuna sehemu yoyote anayoweza kujitambulisha kuwa yeye ni mwalimu unless akutane na watu wanaomfahamu.
Ushuzi gani mshukuru mwalimu kukufundisha kuwa na akiliJuzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
We mtoto wa mama ushashiba ugali wa shemiji umekosa Cha kuandika unaandika ujinga,ingekuwa umesoma kuliko hao walimu Wala usingeleta utoto wako hapa.Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!
Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
inawezekana walikuwa wakikushangaa wewe kwa "kuvimba" na subaru gari ya kawaida kabisa!Sasa kama m40 haifiki walikua wanashangaa nn?
Trying to prove himself, atakuwa amesuffer sana maishaniMkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?