Pole madam kama nimekukera.waheshimu walimu bana hata kama masilahi Yao ni duni.
we mwenyewe mshamba tu.
anasema kweli ualimu sio kazi, sema tu uwasilishaji wake ndio changamotoHayo maneno "PICHA LINAANZA....."
Ni maneno ya hovyo yanatumiwa na vijana wa hovyo
Waheshimu walimu tafadhali
Madam mjep kama umekasirika kunywa sumu ufeHayo maneno "PICHA LINAANZA....."
Ni maneno ya hovyo yanatumiwa na vijana wa hovyo
Waheshimu walimu tafadhali
Madam kosa langu ni nn?Mbona nawe ulifundishwa ushamba wa Kuandika na mwalimu
Mwalimu Ni mtumishi wa serikali anayeruhusiwa kukopa Hadi 60 m kule crdb au nmb. Ukiona Hana gari ujue hajapenda tu.Magari ya walimu? Wayatoe wapi! Niletee mwalimu anaemiliki gari ata ya 20m nikupe mara mbili ya hiyo
Ni mpumbavu tu huyu Edsger wybe Dijkstra ,masikini aliyepata helaMjuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
matusi ya waja baada ya kuvushwa mto na walimu dah 🐒Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Mwalimu Ni mtumishi wa serikali anayeruhusiwa kukopa Hadi 60 m kule crdb au nmb. Ukiona Hana gari ujue hajapenda tu.
Twende kwenye point..Mjuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
Twende kwenye point, NA UALIMU?Sasa kushangaa XT ndo hadi umeanzisha uzi, gari hata 40M haifiki, wewe ndo mshamba zaidi.
Ametoa hoja za uongo?Walikutoa matongo tongo sasa umeona mwanga badala ya kuwakumbuka wawakejeli
Madam punguza hasiraNi mpumbavu tu huyu Edsger wybe Dijkstra ,masikini aliyepata hela
Ukitoa hizo dhihaka, ila point anazo?Huu uzi ufutwe, dhihaka zisizo na maana