Nikiwa njia kutoka mji mdogo wa katoro(busanda),ghafla wakati tunaaza kuingia gta mjini nje kidogo ya centre ya nyankumbu nikaona magari ya kampeni ya mgombea wa ccm yamesimama green gud wake wakimpiga mwendesha baiskeli kwa kumchangia eti amewaonyesha alama ya chadema,ni kitendo cha ajabu sana kufanywa na watu wenye akiri timamu,tanzania yenye amani inatoweka