Kaka hilo ni pepo si medical problem,nliwahi kupata wakati fulani nlipojichunguza nikakuta Nimeacha mambo ya Ibada na kumcha Mungu
Baada ya kurudi kwenye mstari Tatizo likaisha siku hiyo hiyo nlipojitafakari! Mrudie Muumba wako kulingana na imani yako!