Nimechoka kutendwa na mabinti.

Nimechoka kutendwa na mabinti.

Joined
Apr 15, 2014
Posts
47
Reaction score
5
Wana MMU nakuja jukwaani kueleza tatiyo langu katika mapenzi ni kwamba kila nikipata msichana huwa ananitenda tu kwa kutokuwa muaminifu kwenye uhusiano swali nifanyeje niepukane na kutendwa na mabinti naomba ushauri wenu
 
Tulia tafuta binti mwenye tabia njema usiwe na haraka. Mabint weng sasa wanaigiza kupenda
 
mtenda akitendwa bana, huona kaonewa!

Do you think that you are that much perfect brother?

viumbe dhaifu hivi, vinaweza kufinyangwa kivyovyote tu bila kujali umri wao!

kati ya viumbe visivyokua kimalezi dunia hii, basi mwanamke ni namba moja!..

basi tu wanaume tunashindwa kuwabadili hawa wasaidizi wetu...
 
mtenda akitendwa bana, huona kaonewa!

Do you think that you are that much perfect brother?

viumbe dhaifu hivi, vinaweza kufinyangwa kivyovyote tu bila kujali umri wao!

kati ya viumbe visivyokua kimalezi dunia hii, basi mwanamke ni namba moja!..

basi tu wanaume tunashindwa kuwabadili hawa wasaidizi wetu...

Mhhhhh Dadiiiiii...
 
mtenda akitendwa bana, huona kaonewa!

Do you think that you are that much perfect brother?

viumbe dhaifu hivi, vinaweza kufinyangwa kivyovyote tu bila kujali umri wao!

kati ya viumbe visivyokua kimalezi dunia hii, basi mwanamke ni namba moja!..

basi tu wanaume tunashindwa kuwabadili hawa wasaidizi wetu...

hahahah duh mkuu
 
Kazaliwe kwenye dunia ya peke yako, au muumbe mwenyewe mwanamke umtakaye. wakati tulio nao ni wa kuishi kwa rehema tu, kwa hiyo usijipe nafasi ya kumchunguza bata.
 
Jiangalie pia we mwenyewe una kitu gani ambacho kinaweza kuwa kinasababisha hayo kutokea.
 
mtenda akitendwa bana, huona kaonewa!

Do you think that you are that much perfect brother?

viumbe dhaifu hivi, vinaweza kufinyangwa kivyovyote tu bila kujali umri wao!

kati ya viumbe visivyokua kimalezi dunia hii, basi mwanamke ni namba moja!..

basi tu wanaume tunashindwa kuwabadili hawa wasaidizi wetu...

Umesema kweli.
 
Back
Top Bottom