Nimechoka kupigwa vibomu

Moneyowner

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,423
1,252
Eeeeeee jamani jamani kha kama na wewe upo humu ukome, mara ef 10, kesho mwingine efu 30 mara efu 60 , leo ef 25, mwingine nikopeshe lak2, jamani hata ATM wakati mwingine inaishiwa hela, kaeni mkijua huku hali ni tata, hakuna cha deal, hakuna safari,HESLB macho kodo, hakuna kupanda cheo isipokuwa kushuka tu kiufupi mambo ni tight nyie mnopenda kuomba omba hela muaache(wazazi ruksa) wengine kaeni pembeni kwanza mpaka 2021, mkiendelea nitawasema kwa ngwajima
Asanteni
 
Kaa tayari kuita shemeji ngoja wenye pesa za madafu tuendelee kuhongaa..
 
Kama umelitambua hilo hongera kwani kuhonga hovyo hovyo sio ishu wala nn
 
Hahahaha watu wamechanganyikiwa wallah ,hebu mwambieni Magu kama hawezi kulegeza basi atoe hata kifungo kimoja wenzie tupate ahueni
 
Eeeeeee jamani jamani kha kama na wewe upo humu ukome, mara ef 10, kesho mwingine efu 30 mara efu 60 , leo ef 25, mwingine nikopeshe lak2, jamani hata ATM wakati mwingine inaishiwa hela, kaeni mkijua huku hali ni tata, hakuna cha deal, hakuna safari,HESLB macho kodo, hakuna kupanda cheo isipokuwa kushuka tu kiufupi mambo ni tight nyie mnopenda kuomba omba hela muaache(wazazi ruksa) wengine kaeni pembeni kwanza mpaka 2021, mkiendelea nitawasema kwa ngwajima
Asanteni
Toto za kibongo lazima zikupige kizinga jombaa...Sijui zilizaliwa kwenye kiwanda cha pesa?
 
Wanaume wenzangu sijui vipi, , tunaombwa pesa tunalia, ,tunaombwa vyeti tunaliaa........na bado tutalia sana

√unavyomzoesha ndo hivyo hivyo atakuwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom