Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
safi hiyo iache hapo
Jamani hiyo avetor yako?can u change please?
Jamani hiyo avetor yako?can u change please?
Hadi wakati huu ana list 2 za mafisadi,naweza kuziita episode 2 katika series yake iliyomtoa kisiasa ya MAFISADI! Anasema ana ushahidi wa ufisadi wa kila mtu ambaye yupo kwenye hizo lists zake! Ninachomshangaa huyu padiri muasi hatoi huo ushahidi hadharani watanzania tuuone ili 2tambue jinsi gani majangili wanao2tawala wanatuibia rasilimali zetu,au kama hataki kuuonyesha si akaukabidhi kwa prosecutors ili hao jamaa wafikishwe mbele ya sheria,na hao prosecutors wakizingua atuambie wananchi 2andamane hadi kieleweke! Kwa hii staili yake ya kututajia mafisadi kila siku bila kutuonyesha ushahidi au kuupeleka ushahidi mahakamani namwona kama mwimba mipasho flan anayeropoka bila basis! Eti anasema hao anaowataja kwenye lists zake ndio waende mahakamani wakamshtaki yeye anawachafua,ndiyo atatoa ushahidi!!!!! Huu ni unafiki uliokithiri, ni staili ya kitoto sana ya kutafuta umaarufu ya huyu padiri muasi
Hadi wakati huu ana list 2 za mafisadi,naweza kuziita episode 2 katika series yake iliyomtoa kisiasa ya MAFISADI! Anasema ana ushahidi wa ufisadi wa kila mtu ambaye yupo kwenye hizo lists zake! Ninachomshangaa huyu padiri muasi hatoi huo ushahidi hadharani watanzania tuuone ili 2tambue jinsi gani majangili wanao2tawala wanatuibia rasilimali zetu,au kama hataki kuuonyesha si akaukabidhi kwa prosecutors ili hao jamaa wafikishwe mbele ya sheria,na hao prosecutors wakizingua atuambie wananchi 2andamane hadi kieleweke! Kwa hii staili yake ya kututajia mafisadi kila siku bila kutuonyesha ushahidi au kuupeleka ushahidi mahakamani namwona kama mwimba mipasho flan anayeropoka bila basis! Eti anasema hao anaowataja kwenye lists zake ndio waende mahakamani wakamshtaki yeye anawachafua,ndiyo atatoa ushahidi!!!!! Huu ni unafiki uliokithiri, ni staili ya kitoto sana ya kutafuta umaarufu ya huyu padiri muasi
Mbona hujaandamana dhidi ya list ya Richmond aliyotoa Mh Mwakyembe Bungeni? Au maazimio yote 18 ya bunge kuhusu Richmond?
Dr Slaa sio Padri muasi, aliomba kuacha upadri na alifuata taratibu zote za kanisa katoliki. Na hii inatoa somo moja tu, kwamba tusiwe wanafiki. Sio unakuwa msemaji wa chama hiki wakati wewe ni mwanachama wa chama kingine.
Karibu matatizo yote uliyoyataja na mengine mengi tuu chanzo ni hao mapacha watatu. Mfano unapozungumzia umeme si unanikumbusha Dowans? Sasa tunashughulika na mizizi sio matawi. Upoo?
Humu jf sijui kuna watu wako kwenye payroll ya mapacha watatu???
Si kweli!chanzo cha matatizo ye2 siyo mapacha 3! Tatizo ni watu,sisi kama jamii 2po corrupt! Tanzania hamna anayeweza kumnyoshea mwenzake kidole! We are all corrupt! Inabidi 2jiangalie kama jamii
Kwa hiyo wasamehewe!!? umekula kwao wewe usituzingue hapa.