Nimecheka sana! Sikia hii:

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,444
HIVI NDIVYO MMOJA KATI YA WANAFUNZI WA FORM FOUR
2012 ALIVYOJIBU MTIHANI WAKE WA KISWAHILI.

SWALI: Eleza hatua za kuandaa MDAHALO.
Akiwa hajui maana ya mdahalo alijibu hivi...

Kwanza unauchukua mdahalo wako unauosha vizuri.

Pili hakikisha mdahalo wako haujakomaa.

Tatu Bandika sufuria yako jikoni.

Nne Weka mdahalo wako kisha uache uchemke kwa
dakika kumi na tano.

Tano mdahalo wako ukiwa tayari uepue.

Sita Mdahalo huu unaweza kuula na kinywaji chochote.
 
duh..........hiyo ndo hatua ya mwisho ya ukilaza
 
Marudio jukwaani pale JF
 
mie kwangu ndo naiona for first time
 
Teh! Nili2miwa kwenye phone cku ya2 baada ya matokeo kutoka.
 
Mwaya mie nimecheka, na ndiyo kwanza naiona.
 
jamani hilo si la kucheka,tujiulize elimu yetu inaelekea wapi?tutakuja kuwa na taifa gani siku zijazo?tutampata wazuri ,raisi,au hata mwalim kwa staili hiyo?
 
kama mitala ya kufundishia hamna !wewe unategemea atajibu nini?
 
jamani hilo si la kucheka,tujiulize elimu yetu inaelekea wapi?tutakuja kuwa na taifa gani siku zijazo?tutampata wazuri ,raisi,au hata mwalim kwa staili hiyo?

Nafikiri kuna jukwaa husika kwa mada yako, huku tuko kwa ajili ya kupunguza stress.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…