Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 36,228
- 60,546
Hahahaha......Ndugu zangu siasa zimegeuza ubao. Leo ccm wanakuja na tone tone?
Wana wanachama takribani 13M kwa mujibu wa taarifa zao, kama ni za kweli au la sijui lakini Mwanachama mmoja mmoja tu akitoa elfu 10 ni mabilioni ya hela. Je wameshindwa kutumia fursa hiyo?
Baadhi ya wadau wamehoji kwanini CCM imekopy mbinu na taratibu za Chadema mkakati ulioanzishwa na Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika na Godbless Lema.
Wengine wamesema ni siasa tu kujaribu kuamsha ari za uchaguzi na kwamba pesa wanazo ila tu wanazuga.
Lakini kama kweli kuna ukata ndani ya Chama ama la hilo lina baki kuwa siri yao.
Kiichonichekesha ni kuja na Tone tone ambayo waliibeza.
Chadema siku zote iko mbele ya muda na muda ni mwalimu mzuri
Wana wanachama takribani 13M kwa mujibu wa taarifa zao, kama ni za kweli au la sijui lakini Mwanachama mmoja mmoja tu akitoa elfu 10 ni mabilioni ya hela. Je wameshindwa kutumia fursa hiyo?
Baadhi ya wadau wamehoji kwanini CCM imekopy mbinu na taratibu za Chadema mkakati ulioanzishwa na Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika na Godbless Lema.
Wengine wamesema ni siasa tu kujaribu kuamsha ari za uchaguzi na kwamba pesa wanazo ila tu wanazuga.
Lakini kama kweli kuna ukata ndani ya Chama ama la hilo lina baki kuwa siri yao.
Kiichonichekesha ni kuja na Tone tone ambayo waliibeza.
Chadema siku zote iko mbele ya muda na muda ni mwalimu mzuri