Nimecheka kwenye hii video mpalestina alivyofurahi Waisrael kuvamiwa na sasa analia

The Stress Challengerr

JF-Expert Member
Jan 18, 2020
2,478
6,764
Tarehe 07/10 huyu mwarabu mpalestina alishangilia Allah Akbar Allah Akbar maroketi yalivyokuwa yakirushwa Israel na kupeleka vifo, majerehi na kutekwa kwa wateule.



Allah is nowhere to be seen kala kona.
 
Tarehe 07/10 huyu mwarabu mpalestina alishangilia Allah Akbar Allah Akbar maroketi yalivyokuwa yakirushwa Israel na kupeleka vifo, majerehi na kutekwa kwa wateule.

View attachment 2798511

Sasa hivi analialia huku kabanamkundu na marinda.

Allah is nowhere to be seen kala kona.
View attachment 2798512
Jamaa alidhani yale makombora ni burudani ya maonyesho, sasa yamemkuta amebakia kulia lia tu. Vita haijawahi kuwa njema.
 
Tarehe 07/10 huyu mwarabu mpalestina alishangilia Allah Akbar Allah Akbar maroketi yalivyokuwa yakirushwa Israel na kupeleka vifo, majerehi na kutekwa kwa wateule.

View attachment 2798511

Sasa hivi analialia huku kabanamkundu na marinda.

Allah is nowhere to be seen kala kona.
View attachment 2798512
Hamasi hatokaa asahau. Israel wakiamua jambo lao Dunia inasimama ndio maana Manaz wa Germany todate hawatamani kujulikana kwa kile Israel aliwafanya.
 
Tarehe 07/10 huyu mwarabu mpalestina alishangilia Allah Akbar Allah Akbar maroketi yalivyokuwa yakirushwa Israel na kupeleka vifo, majerehi na kutekwa kwa wateule.

View attachment 2798511

Sasa hivi analialia huku kabanamkundu na marinda.

Allah is nowhere to be seen kala kona.
View attachment 2798512
Huyo jamaa huwa ana act, kuna sehemu ana act kama yupo mahututi baada ya kichapo cha Israel. Nia yake Israel waonekane wanyama sana.
 
Tarehe 07/10 huyu mwarabu mpalestina alishangilia Allah Akbar Allah Akbar maroketi yalivyokuwa yakirushwa Israel na kupeleka vifo, majerehi na kutekwa kwa wateule.

View attachment 2798511

Sasa hivi analialia huku kabanamkundu na marinda.

Allah is nowhere to be seen kala kona.
View attachment 2798512

Kwamba wewe unacheka wakati umati mkubwa kama huu ukiandamana kwingine ulaya huko kulaani?

F9iKytvXAAAA2K3.jpeg


Wala hujishangai?

Kumbe una nini cha mno ndugu kuliko umati wote huu?
 
Jamaa mnafiki

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.​

 
Tarehe 07/10 huyu mwarabu mpalestina alishangilia Allah Akbar Allah Akbar maroketi yalivyokuwa yakirushwa Israel na kupeleka vifo, majerehi na kutekwa kwa wateule.

View attachment 2798511

Sasa hivi analialia huku kabanamkundu na marinda.

Allah is nowhere to be seen kala kona.
View attachment 2798512
Dah kumbe wavaa kobasi ndio wanalia kijinga hivi😂😂😂😂😂 allah kakimbia kaona huu msala malizaneni wenyewe
 
Tarehe 07/10 huyu mwarabu mpalestina alishangilia Allah Akbar Allah Akbar maroketi yalivyokuwa yakirushwa Israel na kupeleka vifo, majerehi na kutekwa kwa wateule.

View attachment 2798511

Allah is nowhere to be seen kala kona.
View attachment 2798512
hizi clip kila nikizitizama nacheka mwenyewe. Naanza na hiyo ya Allah akbar, halaf nafuatia hiyo ya kilio.

Kajamaa sijui kalidhani hali itaendelea hivyo tu bila kupokea upinzani wowote! Kanawakilisha watu wengi sana wajinga waliojaa upande ule. Wao huwa hawaifikirii kesho, wana vichwa vya kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba wewe unacheka wakati umati mkubwa kama huu ukiandamana kwingine ulaya huko kulaani?

View attachment 2798521

Wala hujishangai?

Kumbe una nini cha mno ndugu kuliko umati wote huu?
Kwenye msafara wa mamba kenge wamo, usikute 0.0001% ya wanaoandamana hapo hakuna mkweli zaidi ya unafki tu kwa mwonekano wa nnje ila rohoni ni shangwe, nderemo na vifijo.
 
Back
Top Bottom