Nimechanganyikiwa.


Asante sana Azote. Ni kweli hapa duniani tunakumbana na changamoto nyingi sana za mahusiano.
 
Me nafikiri hadi sasa unajua mzazi wako anapenda uoe msichana wa aina gani! Lakini kwa case ya huyu mdada inaonekana jamaa alijua msimamo wa mama yake lakini aliamua kumpotezea muda huyo mdada!
Alikuwa anaendelea kukifungua kipochi manyoya, hahaha wanaume utawaweza, hapo ukute mdada alimkuta mkaka msahambaaa akambadilisha kawa binadam ndo mwenzake anachukua kiulaniiiii, wakati anakula tundi hakujua kwamba kabila ni muhimu?? mbona tundi lilikuwa linamnogea
 
wewee acha mambo yako ya kale hapa...kabila nini bwana?? kabila ndio linalala kitandani?? au kuna makabila watu wao nanihii zao zimesogea kushoto??

wee usilete ubishi ambao hauna akili....kama wewe kabila sio oshu wapo ambao kabila ni ishu mie nikiwa mmoja wao
 

pamoja na hayo jitahidi kusali sana, itakusaidia sana bila hivyo wiki mbili nyingi utabaki na kilo za kiroba cha unga...
 
pamoja na hayo jitahidi kusali sana, itakusaidia sana bila hivyo wiki mbili nyingi utabaki na kilo za kiroba cha unga...

Umenichekesha na hizo kilo za kiroba cha unga. Asante, nitaufanyia kazi ushauri wako.
 
Daaah! Naona una hukumu wanaume wote aisee! Huyu jamaa hukumpenda mdada basi tuu!

Alaf nafikiri hili swala hawa wote wawili hawa kukaaa na kulizungumza kwa mapana na hapa inaonekana mdada alimuamini sana jamaa kumbe nae alikuwa ana cheza tuu!

Mambo ya binadamu hayo!

 
Lakini naamini mwenendo, tabia na matendo yake yatakupa picha huyu mtu ana kupenda au lah!

Asee ni ngumu sana, Yalimtokea mdada mmoja walikuwa na mkaka so deep hadi anakuja kushituka mkaka anaoa kesho tena baada ya washkaji kumhurumia demu kwa kuona alichokuwa anafanya jamaa, sijui alikuwa anawapangaje lakini kamwe hyu mdada ambae ni ndugu yangu hakuona tofauti. Kuja kuona jamaa kweli anaoa hakuamini pale church Aliliaje, utadhani amefiwa na mama mzazi. JAMANI MAPENZI YANAUMA MAUMIVU AMBAYO HAYATIBIKI KWA DAWA WALA KWA POMBE......usiombe utendwe jaman.
 

Ubinadamu kaaaazzzz kweli kweli
 
wee usilete ubishi ambao hauna akili....kama wewe kabila sio oshu wapo ambao kabila ni ishu mie nikiwa mmoja wao

sasa kama ni hivyo na wale mnaogegeda juu kwa juu muwe natafuta wa makabila yenu...muone kama hazitaota kutu..
 
Pole sana unajua kwa nini mnakuwa umuoni? Kwasababu mnazama kwenye mapenzi mwili mzima na mnasahau macho yanatakiwa yapewe nafasi ya kutazama! Na wengi wanajifunza baada ya kutendwa!
Tukumbuke hakuna malaika!

Ila me nawasifu wanawake kila leo mnajua kupenda kweli!

 

Ni kweli, hatukuwahi kulizungumza kwa mapana maana yeye mwanaume alionyesha kwake halikuwa ni tatizo kabisa. Leo baada ya kupata hiyo meseji kazi ofisini hazikufanyika kabisa. Sikuwahi kupata maumivu makali kama niliyoyapata leo.
 

Weeeee mie sina moyo wa kupenda ile ya mwaka 45. sasa hivi full usanii, ujinga kwenda kurudi mbona full ujanja
 
sasa kama ni hivyo na wale mnaogegeda juu kwa juu muwe natafuta wa makabila yenu...muone kama hazitaota kutu..


kugegeda sio kuoa wewe....kugegeda sii namkojolea na wala sina ahida nae baada ya kumchafua sasa hapo kabila lina umuhimu gani?
 
kugegeda sio kuoa wewe....kugegeda sii namkojolea na wala sina ahida nae baada ya kumchafua sasa hapo kabila lina umuhimu gani?

mambo yale mnayoyaogopa yalishaisha siku nyingi bwana, inabidi mbadilike acheni kuishi maisha ya enzi za UJIMA...khaa!
 
mambo yale mnayoyaogopa yalishaisha siku nyingi bwana, inabidi mbadilike acheni kuishi maisha ya enzi za UJIMA...khaa!

ah mie bwana kabila muhimu wee kama unaona mambo ya zamani sawa hilo lako
 
Pole sana msimamo wa mama yake aliujua ndio maana hakukupa nafasi mfanye mjadala maana unge kimbia mapema.

Ni kweli, hatukuwahi kulizungumza kwa mapana maana yeye mwanaume alionyesha kwake halikuwa ni tatizo kabisa. Leo baada ya kupata hiyo meseji kazi ofisini hazikufanyika kabisa. Sikuwahi kupata maumivu makali kama niliyoyapata leo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…