Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Pole sana na wewe! Unajua huyu jamaa katumia hiyo njia kumkimbiza tu kwani mahusiano yao haya kuanza leo, kwanini hakumwambia toka mwanzo?
Duuuh dunia ina maajabu yake yani hadi leo wazazi wanawatafutia wana wake wa kuoa! Pole sana binti, dunia ina watu wengi wala usivunjike moyo hayo ni mapito wala hakuwa wako, muda utafika utapa wa kukuoa wala usiangalie watu watasema nini unatakiwa ujali furaha yako!
++++++++++++++++++++++++++
Naomba nikuulize swali!
Ina maana ulikuwa hujawai kutambulishwa kwao huyo mchumba wako? Maana hila la kabila mbona kama umechelewa kulijua?
Pengine huyo jamaa alikuwa anajua fika hila alihamua kukupotezea muda!
Pole sana!
You will be fine. Nothing heals a broken heart like time, love and tenderness.
Look on the brighter side sweetie. He did not stand you up at the altar, hajakuacha na uja uzito, etc. Pole.
Habari wana MMU? Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulikuwa tunapendana sana na tulipanga Mungu akijaalia tufunge ndoa mwaka huu mwishoni. Sasa leo ameniandikia meseji akiniambia Mama yake amemwambia hawezi kunioa mimi kwa sababu sio wa kabila lake, na yeye kasema hawezi kuacha kumtii mama yake.
Ameniomba tuachane na hivi sasa mama yake amemuunganishia kwa msichana mwingine ambaye ni kabila lao. Hapa nawaza na kuwazua hivi naanza mahusiano na nani? Wanaume wote sio kanisani, ofisini walikuwa wanafahamu mahusiano yetu na waliyaheshimu. Leo hii naanzaje kusema niko single? Ndoto ya kuolewa naona imepaa.
Naombeni ushauri wenu wana MMU, haya mambo yamenichanganya sana.
pole we mamito, wanaume ndivyo walivyo hana lolote huyo alikua anataka kipochi manyoya chako basi any way ushauri wa bure achana na vijajana date na wazee shost hutalia labda ukute ambae hajielewi lakini vijana wengi wao ni pasua kichwa tu
Kwani kuoa mtu anaoa kabila au mtu? Mama na mwanaye wote ziro tu hapa. Ila usiwaze sana maana kama papuchi bado unayo hutakosa mtu may be jamaa kama kang'oa na kuondoka nayo hapo itakuwa ni issue nyingine.
Aliwahi kunidokezea mwanzo kabisa wa uhusiano ila haikuwa serious, alisema Mama yake anatamani watoto wake waoe na kuolewa na kabila lao.
Ila siku zilipokuwa zinasogea hakuonyesha kama kuna tatizo na alisema yeye ndio muoaji hawezi pangiwa kabila la kuoa. Nilimwamini sana maana nilimpenda. Huyo mama yake nilishaonana nae mara mbili hivi, hakunionyesha kama hajanikubali.
pole we mamito, wanaume ndivyo walivyo hana lolote huyo alikua anataka kipochi manyoya chako basi any way ushauri wa bure achana na vijajana date na wazee shost hutalia labda ukute ambae hajielewi lakini vijana wengi wao ni pasua kichwa tu
kabila muhimu maana kuna mambo mnaweza msiendane kutokana na malezi ya hayo makabila
Pole sana kuna mengi alikuficha na aliujua msimamo wa mama yake kabla sema alikuwa anashindwa kukwambia muda hule kuwa hamtoweza kuoana!
Worry out!
Habari wana MMU? Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulikuwa tunapendana sana na tulipanga Mungu akijaalia tufunge ndoa mwaka huu mwishoni. Sasa leo ameniandikia meseji akiniambia Mama yake amemwambia hawezi kunioa mimi kwa sababu sio wa kabila lake, na yeye kasema hawezi kuacha kumtii mama yake.
Ameniomba tuachane na hivi sasa mama yake amemuunganishia kwa msichana mwingine ambaye ni kabila lao. Hapa nawaza na kuwazua hivi naanza mahusiano na nani? Wanaume wote sio kanisani, ofisini walikuwa wanafahamu mahusiano yetu na waliyaheshimu. Leo hii naanzaje kusema niko single? Ndoto ya kuolewa naona imepaa.
Naombeni ushauri wenu wana MMU, haya mambo yamenichanganya sana.
Haya mambo yalikuwa zamani sana lakini siku hizi hayana nafasi sana japo kuna watu bado yapo kwenye vichwa vyao!
mpendwa lililokukuta sio jambo geni, wengi wetu tumeacha na kuachwa kwa sababu tofauti tofauti, na kila mtu anajua utamu wa maumivu unayopitia sasa hivi,la msingi na laana kwako KAZA ROHO, songa mbele utakutana na vidume vya maana mbeleni huko hata huyo uliyekuwa naye utaona alikupotezea muda...ni maumivu ya muda ila yatapoa..(pita pita jf soma comment utafurahi na utasahau matatizo yako)
Wanaume mna ufundi basi?? sijui mbwebwe kwa mbeleko gani, ndo maana nikimpata wa kumshika masikio namchuna kwa maji ya moto hadi akija jishtukia anajidharau mwenyewe
kabila muhimu maana kuna mambo mnaweza msiendane kutokana na malezi ya hayo makabila
Aiseee mbona hapo unakuwa unawaonea wengine sasa kwa makosa ya mtu mmoja?
Hebu jifunze kusamehe alaf amini kuna mtu anaweza kukupenda kweli na asikuumize!
tatizo vijana mnasahau kiwa ukitaka kuoa lazima utaenda kwa wazazi na wazazi wengi bado mambo ya kabila yapo kichwani....so bora ulijue hilo mapema mwanawane...usijebugi bure
Hakuna tofauti kati ya mkweli na muongo wakati unapotongozwa, kwa macho ya kibinadamu ni ngumu kuwatofautisha........