nimechalalala mbayaaa

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
Kwa kawaida huwezi nikuta JF weekend ila hii balaaa sina mkwanja AKA fuba nimekuwa mdooooogo nimechalalaaaa mbaya kudadadadeki nimetia adabu nimeangalia movie zishaisha......
...mbaya zaidi mashori kibao hawapokei simu mmoja kasema nimfuate nimpeleke dar zoo aisee nimemwambia naumwa!!!!!!!
 
Pole tukusaidieje? Nipe namba yako ya voda nikuwekee pesa angalau 300000 umesajili Mpesa lakini?
 
Kwa kawaida huwezi nikuta JF weekend ila hii balaaa sina mkwanja AKA fuba nimekuwa mdooooogo nimechalalaaaa mbaya kudadadadeki nimetia adabu nimeangalia movie zishaisha......
...mbaya zaidi mashori kibao hawapokei simu mmoja kasema nimfuate nimpeleke dar zoo aisee nimemwambia naumwa!!!!!!!

Mzee hiyo AVATAR yako chupu chupu niangushe monitor yangu kwa kibao nilichotoa nikidhani mdudu kapita,,,,,,,,,,,,,,
 
Nimechelewa sana ningeiona mapema ningekutoa mtu wangu. siku nyingine basi usijali
 
Nimechelewa sana ningeiona mapema ningekutoa mtu wangu. siku nyingine basi usijali
thanks you so much my dear....bado nipo nime hang sina hili wala lile......vipi upo?
 
Yoyo................tafsiri hii kitu.........mwanangu.

tela amaizii, tela garugemuuu, telaaaaaaa, tela bojoooo, otele garugemuuuuu, yooooo maweeeee, ogateleeeee. Yaaani piga majiiii, piga yatokeeeeee,pigaaaa, piga jamaniiiii, piga yatokeeeeeeee, yoooooo, mamaweeeeee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom