Nimechaguliwa

Interveiw imefaulu...cha makeke ndenda kwanza ukipata kazi ndio urudi kusema. Watu hawatangazagi kabla hawajaoa au kuolewa unaweza shangaa hata hiyo harusi usiione. Mume au mke akawa wa mwingine.tehee
 
achana naye huyo anakusababishia shinikizo la damu bure muache kama alivyo kwani hujui kuwa watu wengine hutumwa kuwachukia wenzao bila hata sababu achanane nae kabisa wewe endelea mbele na kazi buti besst
siasa za chuki na hili swala vina uhusiano gan? By the way tangu uanze kunichukia sijawah pata matatzo yoyote yale ya kiuchumi wala kiafya
 
unajuaje kama wanafahamiana hao huweizi jua ila huyo ndugu anayemchukia mwenzake ana matatizo sana inabidi apelekwe kwa saikolojisti
JF raha sana yaani unaweza kumchukia mtu usiyemfahamu??!"""
 
Hongera. Usisahau kutuletea mrejesho hapa jamvini. Kila la heri.
 
yea yeah uko sahihi but kwanini chuki zao wazilete huku jamani??? Prove me wrong Dear.....kweli ugomvi wao unatuhusu nini sie??
unajuaje kama wanafahamiana hao huweizi jua ila huyo ndugu anayemchukia mwenzake ana matatizo sana inabidi apelekwe kwa saikolojisti
 
hiyo thread nakumbuka niliweka mm ila kuna wadau wakaponda kishenzi! big up mdogo wangu kasome ujikomboe, ila kumbuka kutupa mrejesho basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…