Nimechaguliw multiple selection

Nimechaguliw multiple selection

Lio tz

Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
71
Reaction score
26
Wakuu habari zenu namshukuru mungu kwa afya na uzima ninaomba ushauri nimechaguliwa chuo
Bsc agriculture economics and agrb-SUA
Bsc In laboratory science and technology-must(mbeya)
Nimesoma cbg naomba ushauri wakuu ni confirm kozi gani ambayo ipo na umuhimu sana kulingana na nchi yetu inapoelekea naomba kuwasilisha
 
Write your reply...soma bachelor of agriculture economics..
 
Write your reply...Nenda mbeya, hiyo ya SUA unaenda kusoma na watu wa HGE.
 
Wakuu habari zenu namshukuru mungu kwa afya na uzima ninaomba ushauri nimechaguliwa chuo
Bsc agriculture economics and agrb-SUA
Bsc In laboratory science and technology-must(mbeya)
Nimesoma cbg naomba ushauri wakuu ni confirm kozi gani ambayo ipo na umuhimu sana kulingana na nchi yetu inapoelekea naomba kuwasilisha
Hiyo ya SUA iko njema kama unapenda kujiajiri... Hiyo lab sina uzoefu nayo ila kama inahusu afya na kama wewe ni mtoto wa mkulima think about it.
 
Hiyo ya SUA iko njema kama unapenda kujiajiri... Hiyo lab sina uzoefu nayo ila kama inahusu afya na kama wewe ni mtoto wa mkulima think about it.
Lab hii ni ile ya viwandan na nimefatilia must ndo wanaitoa kwa Mara ya kwanza degree yake
 
Hil lab sio ya afya ni technical lab
Uko sahihi, Lab Tech haina ajira nyingi mwishoe anaweza kuishia kwenda kusomea Ualimu ili akawe Mkufunzi huko Mashuleni. Aende SUA tu
 
East OR west SUA is the best
AEA iko vzuri hio ipo campus ya mazimbu
 
Wakuu habari zenu namshukuru mungu kwa afya na uzima ninaomba ushauri nimechaguliwa chuo
Bsc agriculture economics and agrb-SUA
Bsc In laboratory science and technology-must(mbeya)
Nimesoma cbg naomba ushauri wakuu ni confirm kozi gani ambayo ipo na umuhimu sana kulingana na nchi yetu inapoelekea naomba kuwasilisha
Nenda sua ndugu,ni kozi nzur sana na utajifunza vitu vingi sana ambavyo vitakufanya uweze kujiajiri hata kama ukikosa ajira. Kila la kheri kwenye uchaguzi wako.
 
Soma unachopenda. F*ck ajira, mediocrity & security , nasema tena soma unachopenda na unachofurahia kukifanya hapo mbele ya safari. Acha kuwa limited na ajira
 
BAM umepata ngapi?? Tuanze na hapo kwanza
 
Back
Top Bottom