britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,209
- 41,779
- Thread starter
- #101
UlilegeaaHoja namba(5) imenilegeza miguu,huu UKUTA kumbe ni wabiskuti, sio wa zege kama tunavyoaminishwa.
UlilegeaaHoja namba(5) imenilegeza miguu,huu UKUTA kumbe ni wabiskuti, sio wa zege kama tunavyoaminishwa.
Unaposema duniani, kwa dunia ya leo unamaanisha kama wapi na wapi?
UpoNaunga mkono hoja kwa!kwa!kwa!
Nilikuwa.naoToka lini ulikuwa una msimamo kuhusu Sep 1? acha unafki.
KumbeWAla wewe si WA upande huo, duniani pote mabadiriko huletwa Na wachache tena wanaotukanwa! Msalaba hukuwa Kwa ajili ya wote ila mmoja lakini Leo ni heshima Kwa wakristo
Hahaha Pascal Mayalla kipindi Kato hajazinguaNaunga mkono hoja kwa!kwa!kwa!
HahaHoja namba(5) imenilegeza miguu,huu UKUTA kumbe ni wabiskuti, sio wa zege kama tunavyoaminishwa.