Jiraniyetu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 350
- 333
- Thread starter
- #21
Hadi imebidi nicheke tu..
Asante sana mkuu..MAMA NI MAMA TU....pole sana ndugu yangu. ..usijali Mwenye Enzi Mungu atakuongoza Yeye Mwenyewe na atarudisha pendo lako na la mama tena...stay blessed my friend
Nimekupata mkuu,nashukuru kwa ushauri..god bless you..I Am telling you bro
You're gonna miss her when she's gone....
hata mimi nilikuwa kama wewe japo wewe umezidi, tokea nilipoanza kujitegemea nilikuwa mvivu sana kupiga simu au kwenda home hata kusalimia mpaka inafika mda mpaka ananipigia simu anamwaga lawama kibao binafsi nachukulia poa tu
Ila baada ya yeye kufariki (R.I.P) ndipo nilianza kujua neno kumiss lina maana gani,
Mkuu, hakuna mwanadamu mkamilifu, mpende na kumjali mama yako hakuna mbadala wa mama
Dogo utakuwa na laana! Kuna post yako humu umeomba ushauri dada yako anakutaka kimapenzi, nyingine inadai mpenzi wako ukimpa elfu 10 kesho anakudai elfu 10x2,
Leo umekuja na chuki na mama yako.
Kuna post yake humu inadai ameathirika kisaikojia kisa kaoa mwanamke ila anadai pesa. Eg leo akipa laki kesho anamdai lakix2! Keshokutwa laki2x2! Hawa ndo great thinkers wa kizazi cha nyoka.Explain it hii imekaaje?
HahahahahaKama sio laana ni muongo alie fuzu
Ila inategemea sometime wazazi wanakuwaga na maneno makali sana,yani kosa kidogo la bahati mbaya ambalo hukukusudia ila maneno atakayotamka utabaki unashangaa k yatoa wapi au alikuwa amekuhifadhia anasubiri ukosee hapo ukikumbuka kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wake un baki unashangaa yale ambayo anakuwaziaga.100℅ya maisha yangu nimelelewa na bimkubwa may be kidogo na dada wa nyumbani...ila nakiri na najua adhabu za mama ndizo zilizonifanya hadi leo kidogo nimekuwa na future ktk maisha yangu.nilikuwaga mkorofi na kiburi kila siku nilikuwa napigwa na niliona naonewa but sasa nimekuwa mtu mzima nimeshajua umuhimu wa zile adhabu.crew yote tuliokuwa tunafanya ujinga ujinga sasa wengine wanakunywa viroba mmoja yupo jela kwa robbery.mkuu mshukuru sana mama yako,hapo sasa ivi unatype sometime kama sio adhabu zake usingefika hapo ungeishia darasa la tatu
Baba ni kama rafiki..Vipi baba alikuwaje?
Pole sana jitahidi kuondoa ghadhabu hizo kwani paradise under the feet of Mother.Baba ni kama rafiki..