Ndugu zangu,
Kwa muda sasa nimekuwa niki-tune TBC1 kwa ajili ya taarifa ya habari na zaidi ile ya saa mbili usiku.
Jana nili-tune televisheni ya ITV.
Nilijikuta nikibaki kwenye kiti karibu kwa muda wote wa taarifa hiyo. Ama hakika, niliona tofauti. ITV wameonyesha kujitahidi sana katika kuandaa taarifa ya habari yao. Ilikuwa ya mchanganyiko wa habari.
Ilipofika kwenye kuripoti kampeni za Uchaguzi wa Arumeru Mashariki, vyama viwili vikubwa vinavyopambana huko vilipata coverage inayolingana kwa kiasi kikubwa. Hata CUF walipata coverage kubwa kwenye mkutano wao kule Unguja.
Maggid Mjengwa,
Iringa.
0788 111 765
http.//mjengwablog.com
Kwa muda sasa nimekuwa niki-tune TBC1 kwa ajili ya taarifa ya habari na zaidi ile ya saa mbili usiku.
Jana nili-tune televisheni ya ITV.
Nilijikuta nikibaki kwenye kiti karibu kwa muda wote wa taarifa hiyo. Ama hakika, niliona tofauti. ITV wameonyesha kujitahidi sana katika kuandaa taarifa ya habari yao. Ilikuwa ya mchanganyiko wa habari.
Ilipofika kwenye kuripoti kampeni za Uchaguzi wa Arumeru Mashariki, vyama viwili vikubwa vinavyopambana huko vilipata coverage inayolingana kwa kiasi kikubwa. Hata CUF walipata coverage kubwa kwenye mkutano wao kule Unguja.
Maggid Mjengwa,
Iringa.
0788 111 765
http.//mjengwablog.com