Mdogo wangu mwenye akili nyingi Ndg Humphrey Polepole hongera sana.
- Wakuu wa vyombo vya ulinzi na Usalama wanashirikiana na watawala haramu kuifisadi nchi
- Uchaguzi Mkuu 2025 ni haramu na batili
- CCM inakataliwa na wananchi.
- Vyombo vya dola vinatumika kama majeshi binafsi ya wataeala
- Kikwete ni mzizi na chanzo cha matatizo haya tunayopitia akishirikiana na eanamtandao
- Wananchi wachukue hatua maana hawana mtetezi wala mkombozi zaidi ya umoja wao
- REFORMS na RECONCILIATION ni sasa. Wananchi wasihadaike na ahadi hewa
- Huduma duni za afya ni makusudi ya viongozi ili wafisadi kupitia maisha yetu.
Mungu akubariki sana.
Huu ni mwanzo wa kupandisha hasira za wananchi
Wambura amepokea amri kutoka juu kwamba, POLISI hata wakiua raia wanaoonekana kufuatilia kesi ya Lissu hawatashtakiwa kwa mauaji.
kweli zanzibar maleria imetokomezwa mwaka huu?Ukisikiliza mzee wa kubananga kwakeli unapagawa
Inakiwaje Zanzibar hakuna Malaria halafu bara ipo,na raisi wa Muungano anatoka Zanzibar,iweje akubali sehemu moja ya Muungano iwe salama na sehemu nyingine is iwe salama
Jibu ni kwamba kuna biashara ya madawa ya wakubwa waendelee kupiga hela
No.5Mdogo wangu mwenye akili nyingi Ndg Humphrey Polepole hongera sana.
- Wakuu wa vyombo vya ulinzi na Usalama wanashirikiana na watawala haramu kuifisadi nchi
- Uchaguzi Mkuu 2025 ni haramu na batili
- CCM inakataliwa na wananchi.
- Vyombo vya dola vinatumika kama majeshi binafsi ya wataeala
- Kikwete ni mzizi na chanzo cha matatizo haya tunayopitia akishirikiana na eanamtandao
- Wananchi wachukue hatua maana hawana mtetezi wala mkombozi zaidi ya umoja wao
- REFORMS na RECONCILIATION ni sasa. Wananchi wasihadaike na ahadi hewa
- Huduma duni za afya ni makusudi ya viongozi ili wafisadi kupitia maisha yetu.
Mungu akubariki sana.
9. Wahuni siyo watu wazuri hata kidogo.Mdogo wangu mwenye akili nyingi Ndg Humphrey Polepole hongera sana.
- Wakuu wa vyombo vya ulinzi na Usalama wanashirikiana na watawala haramu kuifisadi nchi
- Uchaguzi Mkuu 2025 ni haramu na batili
- CCM inakataliwa na wananchi.
- Vyombo vya dola vinatumika kama majeshi binafsi ya wataeala
- Kikwete ni mzizi na chanzo cha matatizo haya tunayopitia akishirikiana na eanamtandao
- Wananchi wachukue hatua maana hawana mtetezi wala mkombozi zaidi ya umoja wao
- REFORMS na RECONCILIATION ni sasa. Wananchi wasihadaike na ahadi hewa
- Huduma duni za afya ni makusudi ya viongozi ili wafisadi kupitia maisha yetu.
Mungu akubariki sana.
Daa Ila mama anazinguaUkisikiliza mzee wa kubananga kwakeli unapagawa
Inakiwaje Zanzibar hakuna Malaria halafu bara ipo,na raisi wa Muungano anatoka Zanzibar,iweje akubali sehemu moja ya Muungano iwe salama na sehemu nyingine is iwe salama
Jibu ni kwamba kuna biashara ya madawa ya wakubwa waendelee kupiga hela
Yani kuna mambo ukiyasikia wallah roho inakuumaDaa Ila mama anazingua
Ukisikiliza mzee wa kubananga kwakeli unapagawa
Inakiwaje Zanzibar hakuna Malaria halafu bara ipo,na raisi wa Muungano anatoka Zanzibar,iweje akubali sehemu moja ya Muungano iwe salama na sehemu nyingine is iwe salama
Jibu ni kwamba kuna biashara ya madawa ya wakubwa waendelee kupiga hela