Nimeandikiwa msg hii!

Huo muandiko wake tu, umekuwa hauna ushirikiano sasa hayo mapenzi itakuwaje... we endelea na mambo yako tu, vitu vingine shirikisha ubongo wako kumalizana nayo. utachomwa moto
 
Fanya hivyo alafu ulete mrejesho. Mtumie muamala angalau wa kuanzia Tsh 50,000 au zaidi
Sidhani kama atapokea, anaonekana bado mshamba mshamba, halafu mimi sina pesa ya kuchezea hivyo. Sio mpenzi wangu, sasa pesa ya nini?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…