Nikupongeze kwa kuwaza mbali hivyo, huwezi fikia mafanikio yanayohussha fedha bila kujibana, hasa sisi wa kipato cha kawaida. Zoezi hilo lazima liende sambamba na kuacha mchepuko, maana starehe garama, ukiweza hilo hongera sana. Mimi sina mke sasa sijui ninapofanya sijui nako ni kuchepuka maana sina njia kuu, naweza nikajima mwenzi mmoja hadi miwilli, ila baadae hinishinda na kupanga bajeti ya papuchi na punguza uzito namlipa hatujuani tena.