Nimeamua nitoe robo ya mahari

Nimeamua nitoe robo ya mahari

Mahari robo!! hata kama najilea au sina walezi siwezi kupokea mahari yangu robo..alafuuu kama hujui kulala ovyo na wanawake kunakufanya unakua umeungana na nafsi nyingi mwilini na ukija kuoa lazma zimuingie na mkeo ndomana kuna watu wanaoa wife material afu baada ya mda kidogo mke anabadilika anaanza uzinzi unaanza kujiuliza imekuaje..kumbe zile nafsi ulizokua unagegeda ovyo zinaanza kujibu kitendo tu cha kulala na mkeo nayeye anazipata izo roho na usiombe kama ulishalalaga na mtu mwenye yale madude ya kupanda ovyo sijui ndo maruhani yaan yale yanatuliaga tuliiii ila ukishazaa tu vitoto ndo yanaingia yanaanza kuonekana kwa watoto. Mtulie muoe mfanye maisha mbuzi nyie.mxeew
Nakazie MXIEEEEEEWWW
 
Kwa ulivomshauri apo mwenzio wala sikujibu nilichitakiwa kukujibu..maelezo yako yamekudifine vzur sana...KAMA HUKUWAI SOMA JITAHIDI ATA KUPITIA BOOKS MBALIMBALI..utaongeza uwezo wa kufikiri.
 
Peleka barua weka na ela kidogo unamchukua jumla huyo
Kuna kademu kazuri msomali sio msomali,mnyarwanda sio mnyarwanda kama vile kaethopia Fulani hivi matata!
Sasa mtoto bado mbichi kabisa kanichengachenga kama maradona!
Sasa nataka nitangaze ndoa feki natoa na vijimahari vya kuzugia nijilie papuchi hadi nikiona imetosha niingie mitini
 
Kuna kademu kazuri msomali sio msomali,mnyarwanda sio mnyarwanda kama vile kaethopia Fulani hivi matata!
Sasa mtoto bado mbichi kabisa kanichengachenga kama maradona!
Sasa nataka nitangaze ndoa feki natoa na vijimahari vya kuzugia nijilie papuchi hadi nikiona imetosha niingie mitini

Nasikia hii ndiyo technique yenu siku hizi mnaenda ukweni kabisa kujitambulisha na kufake kama ndoa itatokea then mnakimbia

Mnawafanya wawe na mashaka na upendo hao wepenzi wenu, kuweni na huruma si vizuri
 
Dada we acha tu na hayo ndo yatamfanya Allah awe na hasira na sisi siku ya kiama
Ya Allah kuelekea mwezi wa dhulhijja tunakuomba utukinge na matamanio utuepushe na zinaa...

Amiin
Wanaume mungu anawaona lakin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom