Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,111
- 790
sorry to say lakini nyie commenters karibu wote hapo juu you all are soooo mean mean mean,,,,, READ BETWEEN LINES of what this person is saying!!!!!!!
Ingawaje ameelezea nia ya kutaka kuwa cheater its not really that what this person wants in her heart... she is soo broken and she is trying to find a way to reach to someone who would understand her and amsaidie,,, she has been bitterly broken na ndo maana anaona kuamua kucheat ni solution,,
Getruda cheating is never a good option lakini ukijikuta umefanya hivyo by accident i wont blame u,, ila sio kitu cha kuplan kufanya,,, halafu are u planning to be a cheater as u already have a man u want to cheat him au u want to become a player?? either way sio option nzuri,,, na ni kwasababu hautakua unamkomoa yule unayemchezea NOO but utakua unajikomoa mwenyewe na nafsi yako and U WILL NEVER GET the satisfaction ya huko Kucheat,, becareful lady... cheers!!
Nadhani u are right, the mdada anahitaji ushauri zaidi. Ameelezea from the bottom of her hearth kama ukimsoma vizuri. Jamani mpeni ushauri kuliko kumbeza