Nimeamua kuwa cheater

sorry to say lakini nyie commenters karibu wote hapo juu you all are soooo mean mean mean,,,,, READ BETWEEN LINES of what this person is saying!!!!!!!
Ingawaje ameelezea nia ya kutaka kuwa cheater its not really that what this person wants in her heart... she is soo broken and she is trying to find a way to reach to someone who would understand her and amsaidie,,, she has been bitterly broken na ndo maana anaona kuamua kucheat ni solution,,
Getruda cheating is never a good option lakini ukijikuta umefanya hivyo by accident i wont blame u,, ila sio kitu cha kuplan kufanya,,, halafu are u planning to be a cheater as u already have a man u want to cheat him au u want to become a player?? either way sio option nzuri,,, na ni kwasababu hautakua unamkomoa yule unayemchezea NOO but utakua unajikomoa mwenyewe na nafsi yako and U WILL NEVER GET the satisfaction ya huko Kucheat,, becareful lady... cheers!!

Nadhani u are right, the mdada anahitaji ushauri zaidi. Ameelezea from the bottom of her hearth kama ukimsoma vizuri. Jamani mpeni ushauri kuliko kumbeza
 
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kuwa cheater, uzoefu wangu kwenye maswala ya mahusiano umekuwa sio mzuri japo nilijitahidi kuwa mwaminifu sana. Kuwa single siwezi , solution ninayoiona ni kutokuwa serious kwenye mahusiano na kudanganya kama ambavyo wengi wamekuwa wakidanganya. This world is not fair kabisaaaaa, unachotenda sicho unacholipwa. Ninajua kuwa cheater sio vizuri lakini nifanye nini wakati dunia sio fair?? niwe natenda wema alafu malipo kwa Mungu hadi lini?? Dunia ya leo kila kitu kinapelekwa kisanii hivyo na mimi nimeamua niishi kisanii kuanzia mwaka 2012.

Duuh haya! uwe makini sana maana unaweza kuwa cheater ukiona ndio solution mwisho wa siku ukazungukwa na cheetah kuna watu hawataki masihara!
 
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kuwa cheater, uzoefu wangu kwenye maswala ya mahusiano umekuwa sio mzuri japo nilijitahidi kuwa mwaminifu sana. mimi nimeamua niishi kisanii kuanzia mwaka 2012.

Getrude :Just because today is a terrible day doesn’t mean tomorrow won’t be the best day of your life.also remember when your down to nothing God is up to something!
 
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeamua kuwa cheater, uzoefu wangu kwenye maswala ya mahusiano umekuwa sio mzuri japo nilijitahidi kuwa mwaminifu sana. Kuwa single siwezi , solution ninayoiona ni kutokuwa serious kwenye mahusiano na kudanganya kama ambavyo wengi wamekuwa wakidanganya. This world is not fair kabisaaaaa, unachotenda sicho unacholipwa. Ninajua kuwa cheater sio vizuri lakini nifanye nini wakati dunia sio fair?? niwe natenda wema alafu malipo kwa Mungu hadi lini?? Dunia ya leo kila kitu kinapelekwa kisanii hivyo na mimi nimeamua niishi kisanii kuanzia mwaka 2012.

Dada Getu hebu jiulize maswali yafuatayo:
1.Je ukienda kuchit unatumia li UCHI la nani?
2.Madhara yatokanayo na kucheat ikiwemo UKIMWI,STD's kupigwa,li mimba na mengineyo yakitokea je yatamkuta huyo au hao waliokufanya uwe cheater?
3.Je umekaa chin ukatafakari njia zingine za kusolve tatizo lako la kucheatiwa?
MAONI: Jaribu kutathmin thaman yako na kisha ubuni solution nzuri kuliko kuwa malaya.KWANI HIYO DUNIA UNAISHI PEKE YAKO HATA SISI TUNAPATA CHALENGE ZA MASWALA HAYO ILA UVUMILIVU NA BUSARA VINATUFANYA TUSIKATE TAMAA KWENYE MAPENZI.
 
Do not commit adultery (deuteronomy 5:18), on the way to your decision you will meet married men.
 
Karibu..tuko kina leopard, lion...... Cheater is small na muogaa karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom