Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,020
friends nilikuwa nimeomba tenda flani mkoani na nilitegemea nitapata but sikupata.ila Nina mke na watoto watatu nimerudi nyumbani chumba kiko rafu watoto rafu mke wangu naye
ananiona nimekasirika haulizi Nina nini huku hajui yaliyonikuta huko mkoani naye kanuna na kaamua kulala mi kichwa kinazunguka sioni wa kunipa MOYO so nikaamua kuhamia hapa bar naona naanza pata furaha BAADA ya hawa wadada kunipa MOYO bila kujua nimekwazwa na nini wakiwa wananiambia haya ni maisha tu braza one day utapata unachotaka nimewaona ni wa maana ZAIDI ya mke wangu na nimewanunulia bia za kutosha wanywe na Mimi nakunywa mpaka usiku narudi home kulala tu nikikuta mnuno uleule naenda lala na baamedi tutajua asubuhi yaliyopita kwa kuw mke wangu kashindwa kuniweka sawa so sina raha hapo home bora hapa bar.heri yenu wake zenu wanajua nafasi zao.good night mtauepuka ukimwi ila siye ambaye hatubembelezwi tunabembelezwa na mabaamedi sijui
kama salama yetu ipo
ananiona
Hebu tupe mrejesho wa jana, ulipiga over night stand,jana ulikuwa bwax mbaya yani man wangu😁😂