Sijaona sababu ya kuoveride kwanini CCM isitoke madarakani. Bora tuwe na dikteta kama Mbowe kuliko rais anachekacheka na kulalamika kama raia!
Kikwete hajaruhusu chochote zaidi ya kukubali kusoma alama za nyakati!
Na ndio maana nchi nyingine hakuna utulivu kwa sababu ya viongozi kukata kukosolewa! Au ulitaka tuwe tunakimbizana na Polisi kila kukicha kama jirani zetu huko kwa kina Besigye? :A S 103:
Uhuru wa umaskini wewe vipi ? Rais gani hajui alifanyalo? Angalia Burundi na Rwanda chumi zao zivyopaa kwa kasi pamoja na mataizo waliyapata, tatizo la wenye akili kama zako waoafikiri haki ya uhuru ni hisani ya mtu fulani hiyo hata mbiguni haipo, uhuru ni haki ya kila mtu kama ilivyo haki hupiganiwa ndivyo pia na uhuru.
Big up mkuu,umejitahidi kumuelimisha huyu bwana, cjui kiwango chake cha elimu bt somo ulilo mpa linatosha,kwa kumuongezea akasome katiba ibara ya 18.Rais kuruhusu uhuru wa maoni sio zawadi, ni wajibu-anatekeleza katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea.
Uhuru wa kutoa maoni huko tuendako hauepukiki-mfano mtu anawezaje kuzuia uhuru wa kutoa maoni ktk social networks kama facebook? Lakini pia Rais wetu ni beneficially wa uhuru wa kutoa maoni.
Moja ya sababu ya kushinda kwa kishindo 2005 ni kuandikwa vizuri na vyombo vya habari wakati wagombea wenzake walikuwa wamebanwa kweli kweli. Hawezi kuuuma mkono unaomlisha. Sio dhambi kumkosoa Rais, maana amechaguliwa na wananchi ili awatumikie.
Kwakweli pamoja na mapungufu yote ambayo binadam wanayo na mfumo wowote unayo, CCM ni chama cha demokrasia ya kweli, kwa kukubali kukosolewa na kujirekebisha, mazingira yananionyesha CHADEMA kingekuwa madarakani kisengeruhusu kusemwa hv kama CCM inavyotoa uhuru wa kukosolewa na Rais Kikwete anatufundisha tuvumiliane mpaka tutakapozoea kusema na kusemwa.
Ushahidi ni jinsi tu mwenyekiti Mbowe anavyopingwa kwenye kikao na Zitto na kumtumia Lema kumshambulia Zitto, je siku wakiwa ikulu atakubali magazeti ya mpinge?