Nimeamini Vodacom Tanzania ni wezi wa vifurushi

evonik

JF-Expert Member
Jun 12, 2015
3,998
5,132
Habari
Kila siku huwa naona data inakimbia pasipo kufanya kitu mtandaon lakin Leo mida ya sa tano ndo nimewasha data,tu nikaingia insta kumchek mama Ummy na millard wanasemaje
Instagram, nimetumia 15.something Mb na WhatsApp kama 7. Mb, basi total yake ni 22MB lakini huwa natumia ile Phone master management inayooonesha matumizi mengine kama ya chaji na ikiwemo ya data, cha ajabu matumizi ya data inasoma 125 MB

Naambatanisha na picha kama ushahidi

Niseme ukwel voda nawakubali ila vifurushi wanatunyonya sana
cc vodacom Tanzania
Screenshot_20200513-123649.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from Quarantine
 
Mtandao wa Voda ni janja janja sana! Ukiondoa huo udhaifu kwenye vifurushi vyao vya internet, iwapo unamtumia mtu hela, wanakukata! Mitandao mingine unatuma tu bure! Sijui ni kwa nini wana jeuri kiasi hiki.
 
Habari
Kila siku huwa naona data inakimbia pasipo kufanya kitu mtandaon lakin Leo mida ya sa tano ndo nimewasha data,tu nikaingia insta kumchek mama Ummy na millard wanasemaje
Instagram, nimetumia 15.something Mb na WhatsApp kama 7. Mb, basi total yake ni 22MB lakini huwa natumia ile Phone master management inayooonesha matumizi mengine kama ya chaji na ikiwemo ya data, cha ajabu matumizi ya data inasoma 125 MB

Naambatanisha na picha kama ushahidi

Niseme ukwel voda nawakubali ila vifurushi wanatunyonya sana
cc vodacom TanzaniaView attachment 1448889

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from Quarantine
fanya ku screenshot matumizi yote ya leo kama hii picha inavo onesha Data Usage kwenye yako
Screenshot_2020-05-13-20-10-02-210_com.miui.securitycenter.jpg


Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
 
Ingekua ni SMS ya voda imesoma 125Mb ningeamini ni wizi il kwa kuwa ni app ya simu hapo MB zako zmeenda kihalali..kagua tu vizuri matumizi yako kupitia hiyo hiyo app. Staki kuamini simu yako ina app mbili tu zinazotumia internet.
Mkuu niliamka asbh sikuwasha data sasa nimewasha sa 5asbh sijatumia app zingine wala ku-update mafile nimetumia tu hizo app mbili ndo inasoma. Hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao jamaa wezi sana mwenyewe wameniibia dakika 60 nilijiunga kupitia TUZO POINTS,kati ya hizo 60 nimeongea na watu kama 2 kwa dakika kama 20 jumla halafu wananimbia kifurushi kimeisha mda wake,yaani hawa ni kuwahama tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari
Kila siku huwa naona data inakimbia pasipo kufanya kitu mtandaon lakin Leo mida ya sa tano ndo nimewasha data,tu nikaingia insta kumchek mama Ummy na millard wanasemaje
Instagram, nimetumia 15.something Mb na WhatsApp kama 7. Mb, basi total yake ni 22MB lakini huwa natumia ile Phone master management inayooonesha matumizi mengine kama ya chaji na ikiwemo ya data, cha ajabu matumizi ya data inasoma 125 MB

Naambatanisha na picha kama ushahidi

Niseme ukwel voda nawakubali ila vifurushi wanatunyonya sana
cc vodacom TanzaniaView attachment 1448889

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from Quarantine
Hivi ulikuwa hujui,voda ni wezi wa bundle kupindukia.Mimi nimehama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom