Ili mtu ajione mkali wao ah thubutu wewe, tukimalizana tumemalizanaKuna zile zinakunogea, si dhambi ukiamua kupasha mkuu!!
Unakuta kuna mtu anakutafuna hadi unahamia moyoni kwake![]()
Yaani kwanza hisia zinatoka wapi aiseeili mtu ajione mkali wao ah thubutu wewe, tukimalizana tumemalizana
Bwanaaa wee, hii nchi mwananchi hana thamani, na hata kula yake haina thamani. Kama kula ya mwanachi ingekuwa na thamani hizi picha picha zisingekuwepoMmezikataa wapi mkuu..! Kuna hoja yenu hata moja imesikilizwa?
Mbona kila sehemu sahizi zipo... alafu freah tu....![]()
Cha ajabu kipi kipya nitakuwa sijawahi kukionaHapa siongelei kumrudia mkuu!!
Hapa naongelea ni mmekutana bahati mbaya, na mkakulana bila kutarajia
Mkuu, hapa bongo ni kufanya yako tu, kula maisha, ondoa Stress... ukipata Enjoy....Bwanaaa wee, hii nchi mwananchi hana thamani, na hata kula yake haina thamani. Kama kula ya mwanachi ingekuwa na thamani hizi picha picha zisingekuwepo
Inawezekana hakuna cha ajabu, lakini ukipata mtu akakukuna Vzuri... yaani akakupagawisha mkuu...Cha ajabu kipi kipya nitakuwa sijawahi kukiona