Nimeamini Mtalaka hatongozwi

Na wadogo zetu wa kiume walio vyuo vikuu na hawana maisha bado waishi vipi mkuu ilhali wana matamanio pia? Hela hawana na bado wanatafuta maisha, waishije ili kupunguza hamu?
Hamu za kimaumbile ni jambo la kawaida na ni afya pia kuhisi hivyo....lakini kuendeshwa hali hiyo kimaumbile ni mapungufu na mtu yoyote asipoweza kujidhibiti Hali hiyo mapema basi yupo kwenye njia ya maangamizo.....
 
Reactions: Cyb
8 yrs[emoji15][emoji15]
 
Mkuu contents ni zina hatari hizi unabaaaa
 
Ndugu mwanachama, maombi yako yamepokelewa na yanashughulikiwa. Kwa maelezo zaidi piga 0800110063 bila malipo.
wanaweza jaza uwanja wa taifa ila sina tabia ya kurudi nilikotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…