Nimeamini mjini akili tu

Na wewe uibiwe nini kwanza jaman?🤣🤣🤣
Maana hata cha kuibiwa huna.
Ndo hvyo hela tunapiga sana tu na kodi tinalipa na leseni zipo

Sina cha kuibiwa, ndo maana huwa hamuolewagi, mnafuata wanaume wa watu, na kufikiro mna uzuri, kumbe wachafu tu na adabu hamna, Mtazeeka mkitembea na wanaume wa watu.
 
Kwa hiyo ukimdaka mjinga mmoja anakulipa mshahara uliokuwa unapata kwa miezi sita kwa mara moja.
Hatuwezi jua labda huyo mzee alikufundisha udaktari kitengo cha upasuaji
 
Ngoja niupige pige kwanza maisha yabadilike ili hata nikikwambia uamini. We ntakwambia ila sio leo...
Daahhh ...udugu wangu mpk ujenge ghorofa sasa
[emoji3526][emoji3526][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Unamsifia wakati hajakueleza anachofanya? Wewe nawe umekuwa mjinga mwingine.
 
Wataka sema mpare anataka kutapeli watu?
Kaa kwa kutulia Mjini akili tu darasa la 7 anamiliki mashimo kwenye migodi kadhaa kaajiri walioenda shule na wasioenda shule, akili tu
 

Hiyo ya sokoni kununua mahitaji ni idea nzuri sana, ila sasa uangalie maeneo wanayoishi wenye nazo kidogo. Maana huko kwingineko budget ya matumizi tia maji tia maji.
 
Hakuna mchongo wowote hapa zaidi ya "Tuma kwenye namba hii"
 
Mimi nimeeleza uzoefu. Kuwa huwa tukitaka mtapeli mtu tunajihami sana. Tena huwa tunakataa kuwa hatutoi kabisa siri ya ushindi... Na akija mtu tunaweza hata ku mblock ili aje alalamike kuwa hatutaki toa siri. Hii inatufanya tuaminike zaidi ili sasa yule ambaye tuta mset aje aliwe kichwa vizuri
 
Hiyo ya sokoni kununua mahitaji ni idea nzuri sana, ila sasa uangalie maeneo wanayoishi wenye nazo kidogo. Maana huko kwingineko budget ya matumizi tia maji tia maji.
Yes unafanya analysis before
 
Anyways amini vile unaamini.
 
Nakadori mpendwa huna baya, nifungulie code hata kwa uchache. Mchongo eti ni B2B au B2C?
Code siifungui hata mniite majina yote mabaya yaliyoko dunian. Kikubwa I make my living though legal ways ....I don't care backing dogs wanachosema.
Siku zote mbwa anambwekea asiyemfahamu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…