Na wewe uibiwe nini kwanza jaman?🤣🤣🤣Wezi tu nyinyi, mtakuja kufa vibaya sana kwa zuluma za wafanyakazi wa haki kwa bidii, naona unatafuta wateja wa upatu muwaibie
chalenger amepigwa ban?umemlipoti?😅🤣😄😂Na wewe uibiwe nini kwanza jaman?🤣🤣🤣
Maana hata cha kuibiwa huna.
Ndo hvyo hela tunapiga sana tu na kodi tinalipa na leseni zipo
Siku ukitiwa pingu usije hapa kulialia hkn short in live fanya kaz vizee zizikudanganye na glass za wine utakuja kutupa mrejeshoBinafsi ukiniambia kuna mchongo WA hela unachotakiwa ni kuwa sharp na lapt top yako huku unakunywa wine...
Akili ya kawaida inaniambia ni "crime related"...
Sasa kama ni uhalifu ...basi hupaswi kuwaambia ambao hawajihusishi kuwa wavivu au wamezubaa.....
Wewe endelea na michongo....lakini ambao hawafanyi Haina maana hawajui wengine wanajua hawataki
sawa nasisi tupo hukuhuku karibu Sana.Asanteni kwa kunisindikiza safarini nimefika salama nilikokuwa naenda.
Najua ninachofanya....
We dr sio kila siku uje ki negative..Siku ukitiwa pingu usije hapa kulialia hkn short in live fanya kaz vizee zizikudanganye na glass za wine utakuja kutupa mrejesho
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
😅😅😅unajikuta mjanja sanaee?We dr sio kila siku uje ki negative..
Serikali ya samia inanitambua...
Tatizo dr wewe ni dr wa mitishamba huwezi kuelewa. Ila wapo wachache wameelewa.
Alaf sijaambia mtu afanye... was just sharing my experience.
Huyu dingi heshima ninayompatia sio ya nchi hii. Mtu ananipatia madini naanzaje sasa kuweka issue ambazo ni informal?
Kaka Kuna wazo tunaeza share coz nimeona una kituu keisangora, CONTROLA na Mshana Jr mjee hapaaPenye tatizo ama ignorance Kuna hela.
Mfano Kuna mradi mmoja nauwaza unamiliki boda unampa kijana ,Hawa akina mama wanabakia home , wanafua,Wana watoto wananyonyesha,wanacheki series,tamthilia,wanapiga soga wanakuwa wavivu wa kwenda magengeni kufanya maemezi lunch nakuwa na app yangu Kama Uber wanatuma Oda zao nazo asubuhi nanunua Kama nyanya za 300,kitunguu Cha 200,dagaa 1000, mchicha wa 500,
Mafuta ya kula ya 200 nampelekea mafuta wananilipa kwa mwezi ama kila mmama anatoa 250 Mana natafuta eneo ambalo ni congested. Maana ukipata Kama Kaya buku ivi unalaza kitu Kama 200k unamzidi mwenye PhD anayelilia kutoteuliwa u rc pia.
Nyingine unapika chakula unakuwa na mdada unatafuta networks wale wavivu wa kupika ama mabachelor unawapelekea lunch wakiwa maghetoni Mana wapo wasiopenda kutoka kama vile mkiwa loji ndani kwa ndani unaletewa msosi hamshuki chini mana mko na nguo laini,Hawa Kuna service Kama ya 500,
Tunataka point kama hizi na mwingine mwenye nazo tupatie
Pande zipi mkuu, mi nataka niende kyera kule mbeyaaNipo hapa napambana kulima alizeti na mpunga, ili niwaletee mafuta na mchele huko mjini
Hapa hamna mtu mkuu mi nilishaona tangu nasoma alichoandika hamna akili paleoSema we sikuelewi nilikuona mwelevu ila nakuona tena wew ndo mjinga kwn point nzuri huzipokei na mbaya ndo unazikubali..... Huna mchongo wowote unawapotosha watu embu siku nyingne viongoz wawe wanawachunguza kabla ya kuposti kitu humu,,,,, kwn unaweza jiona ni muelewa sana afu wenzio wakakuona wew ni punguani
Eeeh tenaSalama?
Dah kila siku najifunza hapa duniani....NIMEAMINI MJINI NJOO NA AKILI TU ...HATA USIPOBEBA NGUO UKIWA NA AKILI UTAZIPATIA MJINI.
Sasa basi Kuna mzee mmoja niliunganishwa nae anisaidie ishu moja hivi....sasa bwana nikashangaa sana huyu mzee maisha yake yote anaishi hotelini..I mean kwa siku analipia elf 60 hadi 70 za kulala (inaweza kuwa ndogo kwako ila kwangu kubww sana kwa siku) na muda wote anapiga ulabu wa gharama tena akiwa na kampani ya mtu hadi 6 mpaka jogoo anawika. Nikawa najiuliza huyu dingi anashinda hotel anakesha bar pesa anatoa wapi??
Basi binafsi ishu aliyopaswa anisaidie hakunisaidia badala yake akawa ananikaribisha niwajoin mida ya jioni wakiwa wanapata mambo yao. Katika story zake Alisema ameona nina akili sana so nitampatia utajiri so niwe mpole nimsikilize (najua mtabisha kwakuwa mnaniona kilaza sana humu).
Akawa ananituma kumfanyia kazi zake binafsi kwa kunituma sehemu mbalimbali. Nikaamua kuwa mjinga tu kwamba niwe namsikiliza na kufanya kazi zake bila hata malipo.
Sasa akanipatia mchongo flani ...mwanzoni niliuona mgumu sana kwakuwa hadi umu identify mteja sio kazi rahisi . Huu mchongo unatumia ujinga wa watanzania na utapiga hela ndefu tu.
Basi bwana baada ya kama mwezi hivi nikaanza kupata wateja... Yani salary yangu ya miezi 6 wakat nimeajiriwa nkaipata kwa mwezi mmoja. Inshort ule mchongo unafanya kazi na glass ya wine umerelax kabisaa kikubwa uwe na laptop, simu na data. Of course na connection kidogo. Yani mteja mmoja tu kwa mwezi anatosha unaishi kama mkuu wa idara ngazi ya mkoa.
Nikaamini kwamba mjini inatakiwa akili tu nguvu uache kijijini. Watanzania wengi ni wazito, hawajiamini, waoga sana na wavivu kufanya ishu zao hata zile ndogo sana....sasa wachache wajanja wanatumia huo udhaifu kuishi mjini.
Sijutii kumfahamu yule dingi.
Mwisho Ongea na watu vizuri ....unayedhan hana maana anaweza kuwa wa manufaa kwako. Aliyeni connect na huyu dingi ni bolt driver tu baada ya kuniskia naongea kuhusu ishu flan nikiwa mkoa flani kwa mapumziko.
Uzi tayari
Note: mchongo sitautaja kabisa. So msiniulize sana. Hiyo ni password ya maisha.
Kingine sitaki mtu PM. Nimetoa mfano wa maombi ya vyuo tu.... kwamba ukiutumia vizuri ni fursa. Kwani watu wa stationery wanafanya nini? Hadi kuangalia salary slip ya mwalimu wanachaji buku 3 na wapo Town wana hela kwa kutumia ujinga wa watanzania wakiwemo walimu. So jiongeze
Nyie mlioko PM msijisumbue sitajibu.
Fee nachaj kihalali kabisa in USD beibee (najua mnasonya ila ndo hvo tafuta ujinga uutumie kama fursa pia ongea na watu vizuri). Kodi tunalipa na leseni zipo.
Wataka sema mpare anataka kutapeli watu?Ukitaka kuuelewa vizuri huu uzi soma huu uzi hapa chini
Mjue Steve Ndaula, mmiliki wa kampuni ya BMC iliyowatapeli watu zaidi ya Sh. Bilioni 16 kisha kukimbilia Dubai
Bwana Steve Ndaula ni kijana mdogo ambae alianzisha kampuni ya upatu/pyramid scheme ya Bestways Capital Management ambayo imewatapeli watu zaidi ya Sh. Bilioni 16 na kisha akakimbilia Dubai. Steve alisoma chuo cha IMTU fani ya Udaktari kuanzia mwaka 2012 hadi 2017. Mwaka 2016, mwaka mmoja...www.jamiiforums.com
Kuna watu wanavutwa wapigwe?Hakuna kazi kati ya hizo hapo itayokufanya ushinde bar na ulale hotel kila siku kwa 60 had 70 elfu.
Acheni masikhara!
[emoji817] uko sahihi, naongea kwa ushahidi sababu na mimi nimenufaika sana na bado naendelea kwenye fursa ulizoorodheshaKweli kabisa, Watanzania wengi tuna uzembe hata kwa vitu vidogo tu. Nafikiri ni miongoni mwa yafuatayo:-
1. Issue zinazohusiana na TRA
2. Passport/VISA
3. Issue za Brela
4. Application za chuo kwa wanafunzi/Loan Board
5. RITA (Vyeti vya kuzaliwa + vifo)
6. Hati za viwanja + nyumba…..nk.