Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Siyo kila madaraka yanatoka kwa Mungu, angekuwa wa kuandaliwa na Mungu angeshatubu makosa ya wizi wake hadharani.Mungu kama kamuandalia hata mkichafua jina lake atapeta tu
Ulikuwa unaota magoli ya ngasa na kiiza yalivyokuwa yakishangiliwa na mashabiki wa yanga maana nao wanavaa njano na kijani.Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Kaandaliwa na nani?Hata usingeota..ila ndo huyo ameshaandaliwa tayar...na kama huamin subr 2015...hata akipita mtafanya nn!!!mana wa TZ weng tunajua kuongea lakin vitendo 0...
Kamanda asiyekaa ofisini
Kamanda mwajibikaji
Kamanda mpiganaji
Kamanda wa maamuzi
Kamanda wa shule za kata
Kamanda wa mradi wa maji ziwa victoria
Kamanda hajawahi kutuambia liwalo na liwe au tumechoka wapigwe tu
Ndo umemwota heri umwotae rais 2015
Nashkru na nimekusamehe.Nimekutukana tusi baya sana.
usijali ndugu yangu ila nitendee haki japo kidogo,nishakuwa baba mji tangu 2008.vijana wanaobalehe huwa wananaota kufanya mapenzi na wanawake mbalimbali. Huwa hawawapati. Wanaishia kujichafua tu.
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Ni maoni yako,asante kwa kuchangia.Labda wa CCM ila si wa watanzania.
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Yote kheri,nakutakia maisha marefu ili ukweli tuushuhudie,sijatukana kaka/dada!unaanza kwa kutukana watu kisha wewe hutaki kutukanwa?...$325^^%#&*@& wewe
Mkuu wewe jiamini na ndoto yako yaweza kuwa kweli wanaotoa matusi ni bavicha tena tulishawazoea humu wala usiwaze tukiufikia mto tutavuka.usijali ndugu yangu ila nitendee haki japo kidogo,nishakuwa baba mji tangu 2008.
Nimekutukana tusi baya sana.[/QUOTE
hata chizi nae huota
Nimekutukana tusi baya sana.[/QUOTE
hata chizi nae huota
si afadhali huyu aliyeota ndoto chanya,je ww unayeota unaloga ndugu zako