josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 640
Inawezekana vipi mtu mwenye upeo mzuri wa kuwaza kusafirishwa kutoka mkoani kwa fedha zako, uuze mali zako au za mzazi wako, mkalundikwe chumba kimoja watu zaidi ya 20 huko Dar eti kwa ahadi ya kufanikiwa kibiashara.
Kweli kijana mzima wa miaka zaidi ya 24 unalipa milioni 5 hewani kwa mmiliki wa kampuni hewa na hujawahi kumwona na unaamini ipo siku utatoboa huku ukilala chooni?
Hili jambo limeniwazisha sana, wakuu nilifuatlia kipindi cha ripoti maalumu cha ITV ni mambo ya kustaajabisha mno.
Kipindi kipo youtube kwa jina la Ripoti maalumu!
Kweli kijana mzima wa miaka zaidi ya 24 unalipa milioni 5 hewani kwa mmiliki wa kampuni hewa na hujawahi kumwona na unaamini ipo siku utatoboa huku ukilala chooni?
Hili jambo limeniwazisha sana, wakuu nilifuatlia kipindi cha ripoti maalumu cha ITV ni mambo ya kustaajabisha mno.
Kipindi kipo youtube kwa jina la Ripoti maalumu!

