Unapo sema watanzania wana low IQ una maana gani? Unajumuishaje kundi lote kwa ujinga wa mtu mmoja? wewe kweli sio msomi huna uwezo wa kufikiri unajua kufanya majumuishi ni kukosa upeo yani juma jirani yako ni mwizi basi wakina juma wote ni wezi that is fallacy of generalisationInawezekana vipi mtu mwenye upeo mzuri wa kuwaza kusafirishwa kutoka mkoani kwa fedha zako, uuze mali zako au za mzazi wako, mkalundikwe chumba kimoja watu zaidi ya 20 huko Dar eti kwa ahadi ya kufanikiwa kibiashara.
Kweli kijana mzima wa miaka zaidi ya 24 unalipa milioni 5 hewani kwa mmiliki wa kampuni hewa na hujawahi kumwona na unaamini ipo siku utatoboa huku ukilala chooni?
Hili jambo limeniwazisha sana, wakuu nilifuatlia kipindi cha ripoti maalumu cha ITV ni mambo ya kustaajabisha mno.
Kipindi kipo youtube kwa jina la Ripoti maalumu!
Inawezekana vipi mtu mwenye upeo mzuri wa kuwaza kusafirishwa kutoka mkoani kwa fedha zako, uuze mali zako au za mzazi wako, mkalundikwe chumba kimoja watu zaidi ya 20 huko Dar eti kwa ahadi ya kufanikiwa kibiashara.
Kweli kijana mzima wa miaka zaidi ya 24 unalipa milioni 5 hewani kwa mmiliki wa kampuni hewa na hujawahi kumwona na unaamini ipo siku utatoboa huku ukilala chooni?
Hili jambo limeniwazisha sana, wakuu nilifuatlia kipindi cha ripoti maalumu cha ITV ni mambo ya kustaajabisha mno.
Kipindi kipo youtube kwa jina la Ripoti maalumu!
HahahaaaaUmeongea kwa uchuungu mkubwa