Nimeamini CHADEMA ni chama cha kiungwana

Nimeamini CHADEMA ni chama cha kiungwana

Matukio kadhaa yaliyojitokeza siku za karibuni kwa Chadema, ni wazi kabisa kuwa serikali ya CCM ilikuwa na nia ya kuwachokoza wafuasi wa Chadema wa berserk kisha ipate cha kufanya au kusema.
Kitendo cha kuzuia hata Landrover kuwapeleka viongozi mahakamani kupewa dhamana ili walale rumande ni dalili mbaya lakini Chadema wakatulia bila fujo na kwenda EU kuwaeleza kinachoendelea.
Malengo yao maovu ya kuichokoza ili kuwatia hasira Chadema yakashindwa, lakini salamu alizopata Rais Magufuli katika ibada ya Pasaka St Joseph ajitafakari.
Kitendo cha kususiwa ibada anayohudhuria yeye tena kwa taarifa na kupewa Paroko msaidizi pia ile hali ya yeye kutoa salamu na watu kununa bila kumshangilia kama ilivyo kawaida ajue ndio majibu ya waungwana.
Kuna siku uungwana utalipa!
Mkuu nasikia siku mbili kabla maaskofu walimwambia kutokana na mvutano wa kanisa na serikali kuhusu waraka si vyema rais apewe muda wa kuongea siku hiyo lkn usalama ukalazimisha, baada ya kuona hivyo maaskofu wakasusa kuongoza misa.
 
Si waungwana ila wamedhibitiwa kikamilifu na vilivyo

Halafu wanasaidiwa kutoka siasa za kiharakati kwenda siasa za kistaarabu
Siku moja Idd Amin alimwambia msaidizi wake mmoja kuwa sasa nimewadhibiti wapinzani wakorofi wote! Alisema hivyo kwakuwa aliwaua watu alio dhani wanampinga zaidi 250000. Kumbe kila unapo ua unazalisha maadui wengi zaidi. Ilipo fika 1976 baada ya kuona karibu raia wote wanamchukia akajitangaza Rais wa maisha. Wakati hayo yanatokea tayari kulikuwa na Waganda kwa maalfu wanajiandaa kumpindua!
Sasa wajinga kama ninyi mnadhani amefanikiwa kuwadhibiti CHADEMA, kumbe anajiongezea maadui. Fedheha ya kumkuta Paroko msaidi siku ya ibada ya misa takatifu kubwa kama ile ni dalili mbaya. Bila shaka hata yeye alitegemea kumkuta Askofu.
Lakini kwanini anapenda kuhutubia kanisani? Nyerere kwa kipindi chote cha miaka 27 akiwa kiongozi hakuwahi kuomba kuongea na waamini wa kanisa alilokuwa anasali.
Watu kukaa kimyaaa bila kutabasamu muda wote wakati anaonge ilikuwa ni ishara kwamba wamechoka kusikiliza siasa!!
 
Mmejaa dhuluma na hila na ndio maana hamna mnachofanikiwa zaidi ya kuongeza tu deni la Taifa.
mm ni mmoja wa watu walioamjlini Siku mbowe akikamatwa basi hapatakalika, ila huwezi amini hapa nilipo kumara watu wanakunywa supu tu ya mbuzi na Jana walilewa sana hawajui hata kama mbowe yupo segerea
 
Mkuu nasikia siku mbili kabla maaskofu walimwambia kutokana na mvutano wa kanisa na serikali kuhusu waraka si vyema rais apewe muda wa kuongea siku hiyo lkn usalama ukalazimisha, baada ya kuona hivyo maaskofu wakasusa kuongoza misa.
Duh bora wamelisusia, hilooooo. Mwenye clip akijichekeshachekesha ai upload!!!
 
Wangekuwa waungwana wasingemfanyia waliyomfanyia Dkt. Slaa.

Hawana uungwana wowote hao.
Kamanda Ngabu wewe ulishachafuka humu ,Kila mtu anafahamu sasa hujui ushike wapi, Watu watakula ndogo muda wowote

Kosa lako la kupenda na kuendekeza papuchi limekugharimu sana sana

Wewe ni kamanda tu hata ukisifia, Watoto wa Mbezi Beach, Najua unakumbuka kile kipindi Bar za Tank bovu zilipokuwa zinavamiwa
 
Matukio kadhaa yaliyojitokeza siku za karibuni kwa Chadema, ni wazi kabisa kuwa serikali ya CCM ilikuwa na nia ya kuwachokoza wafuasi wa Chadema wa berserk kisha ipate cha kufanya au kusema.

Kitendo cha kuzuia hata Landrover kuwapeleka viongozi mahakamani kupewa dhamana ili walale rumande ni dalili mbaya lakini Chadema wakatulia bila fujo na kwenda EU kuwaeleza kinachoendelea.

Malengo yao maovu ya kuichokoza ili kuwatia hasira Chadema yakashindwa, lakini salamu alizopata Rais Magufuli katika ibada ya Pasaka St Joseph ajitafakari.

Kitendo cha kususiwa ibada anayohudhuria yeye tena kwa taarifa na kupewa Paroko msaidizi pia ile hali ya yeye kutoa salamu na watu kununa bila kumshangilia kama ilivyo kawaida ajue ndio majibu ya waungwana.

Kuna siku uungwana utalipa!
Mbona Sioi na Kitilya wapo mahabusu kwa miaka miwili sasa, Mbowe hata wiki hajafikisha chama kizima mnalia lia!
 
mm ni mmoja wa watu walioamjlini Siku mbowe akikamatwa basi hapatakalika, ila huwezi amini hapa nilipo kumara watu wanakunywa supu tu ya mbuzi na Jana walilewa sana hawajui hata kama mbowe yupo segerea
Mimi niko machame hapa watu hawana habari kama mbunge yupo korokoroni!
 
mpaka kiongozi ahamasishe?? nn maana ya nguvu ya umma?? duh kweli mmeishiwa
Hivi wewe shida yako ni vurugu? Ili iweje zikitokea?
Kama ndivyo mlivyolelewa na kufunzwa huko green guard kuwa mjiandae kukabiliana na vurugu basi mmedanganyika sana!
Uhuru wa nchi hii haukuletwa na risasi wala mapanga bali maongezi mezani na jambo lolote lenye tija hupatikana kwenye meza ya mazungumzo kitu ambacho ccm mnakikwepa na kuhamasisha na au kulazimisha vurugu! Jitafakarini tena na ikibidi mje na strategic mpya kwani hii imefail! Kamvuruge mama na babako kama itakupendeza!
 
Back
Top Bottom