Acha uongo. Hakuna guest yenye jina hilo. Niijuayo ni hiyo hap manzese na huenda uko hapo kwani ni ya bei poa sana! Nipo mkwaringo hapa kama kweli tuonane hapo hospital saa sita mchana!Nipo Manzese guest hapa machame!
Acha uongo. Hakuna guest yenye jina hilo. Niijuayo ni hiyo hap manzese na huenda uko hapo kwani ni ya bei poa sana! Nipo mkwaringo hapa kama kweli tuonane hapo hospital saa sita mchana!Nipo Manzese guest hapa machame!
Ninachomaanisha mwanasiasa hapaswi kuiogopa lupango!Sioi na Kitilya no viongozi wa Chadema mpaka tuwazungumzie? Unatumia akili ipi kutoa hoja hiyo?
Ndio maana nakuambia Mara kwa Mara unapoandika tumia akili sio moyo unavyo kutuma.Ninachomaanisha mwanasiasa hapaswi kuiogopa lupango!
Ha ha ha kama ambavyo Lowassa alijiuzuru uwaziri mkuu.Wamemfanyaje Dr Slaa? Mbona ni yeye alitangaza kujiuzulu na mambo ya siasa?
Kiongozi gani angethubutu.Kuna kiongozi wa CHADEMA alijitokeza na kuhamasisha maandamana siku ile?