Nimeamini CHADEMA ni chama cha kiungwana

Nimeamini CHADEMA ni chama cha kiungwana

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,949
Reaction score
74,431
Matukio kadhaa yaliyojitokeza siku za karibuni kwa Chadema, ni wazi kabisa kuwa serikali ya CCM ilikuwa na nia ya kuwachokoza wafuasi wa Chadema wa berserk kisha ipate cha kufanya au kusema.

Kitendo cha kuzuia hata Landrover kuwapeleka viongozi mahakamani kupewa dhamana ili walale rumande ni dalili mbaya lakini Chadema wakatulia bila fujo na kwenda EU kuwaeleza kinachoendelea.

Malengo yao maovu ya kuichokoza ili kuwatia hasira Chadema yakashindwa, lakini salamu alizopata Rais Magufuli katika ibada ya Pasaka St Joseph ajitafakari.

Kitendo cha kususiwa ibada anayohudhuria yeye tena kwa taarifa na kupewa Paroko msaidizi pia ile hali ya yeye kutoa salamu na watu kununa bila kumshangilia kama ilivyo kawaida ajue ndio majibu ya waungwana.

Kuna siku uungwana utalipa!
 
Si waungwana ila wamedhibitiwa kikamilifu na vilivyo

Halafu wanasaidiwa kutoka siasa za kiharakati kwenda siasa za kistaarabu
 
Si waungwana ila wamedhibitiwa kikamilifu na vilivyo

Halafu wanasaidiwa kutoka siasa za kiharakati kwenda siasa za kistaarabu
Unambadilisha mtu kwa kumuonea? Uonevu toka lini ukawa msaada badala ya ugomvi?
 
Walimdharau mno Kikwete
Sasa wamepata mbabe mwenzao
Kwahiyo hapo ngoma ni droo

Kipindi mjue ni halftime sasa sijui itakuwaje full time
Kumbe ni viongozi mbabe?
 
Back
Top Bottom